Wazo la biashara, ukiona yafaa lifanyie kazi

Wazo la biashara, ukiona yafaa lifanyie kazi

Kwema?

Nakuletea wazo langu la biashara, ukiona lafaa chukua... Nunua kiwanja pembeni ya mji,mana huku wanapenda sehem zilizojificha,jipange jenga hata rooms 5,ila ukiweza kujenga room 20.

Kila room utachukua 20,000/=tsh per night. Ukiwa na rooms 5 utazidisha hapo,itakuwa ni laki kwa siku,usisahau huku rooms zinaanza kulaza kuanzia saa tatu,kabla ya hapo ni "show time tu" So ukipiga na show time utajua mwenyewe utapata ngapi... Tukirudi kwenye mahesabu hio laki ukipiga mara mwezi,utakua umekunja 3M,sasa hapo mahesabu ya show time sijayajumlishia,usisahau kuna malipo ya wafanyakazi na wenye serikal yao,umeme n.k...

Hii itakulipa kama utakaa mwenyewe ama utaweka mtu mwaminifu...

Haya twende ukiwa na rooms 20 kwa siku utapata laki 4,
Na kwa mwezi ukizidisha ni million 12...unataka nini tena,bado hapo mafichoni hujaweka vinywaji na chakula(usisahau nguruwe)

Atakuja mtu atasema mahesabu ya kwenye madaftari,sijui "motivation speaker "

Njoo ufanye research ujionee,siongei porojo

Local Guests house inalipa sana Unguja.
Unguja na nguruwe umeweka pia ?? Aiseee kobazi watakuja tu ngoja
 
Kwema?

Nakuletea wazo langu la biashara, ukiona lafaa chukua... Nunua kiwanja pembeni ya mji,mana huku wanapenda sehem zilizojificha,jipange jenga hata rooms 5,ila ukiweza kujenga room 20.

Kila room utachukua 20,000/=tsh per night. Ukiwa na rooms 5 utazidisha hapo,itakuwa ni laki kwa siku,usisahau huku rooms zinaanza kulaza kuanzia saa tatu,kabla ya hapo ni "show time tu" So ukipiga na show time utajua mwenyewe utapata ngapi... Tukirudi kwenye mahesabu hio laki ukipiga mara mwezi,utakua umekunja 3M,sasa hapo mahesabu ya show time sijayajumlishia,usisahau kuna malipo ya wafanyakazi na wenye serikal yao,umeme n.k...

Hii itakulipa kama utakaa mwenyewe ama utaweka mtu mwaminifu...

Haya twende ukiwa na rooms 20 kwa siku utapata laki 4,
Na kwa mwezi ukizidisha ni million 12...unataka nini tena,bado hapo mafichoni hujaweka vinywaji na chakula(usisahau nguruwe)

Atakuja mtu atasema mahesabu ya kwenye madaftari,sijui "motivation speaker "

Njoo ufanye research ujionee,siongei porojo

Local Guests house inalipa sana Unguja.
Unaandika kirahisi rahisi tu eti 20000 per night room 20 kwa siku laki nne!!???
bro biashara hazipogo hivyo labda kama ni mgeni!
 
Utaratibu wa kumiliki kiwanja kwa unguja ukoje? Na bei yake kwa ukubwa wa kujenga vyumba 5.
Asante
 
Haka ka biashara hua nakawaza sana. Naamini ni kabiashara ambako hakakulazi njaa na kanalipa kuliko kujenga nyumba za kupanga.

Kuhusu kuwa na mtu muaminifu ni ngumu, mi naona bora kuingia gharama kidogo unafunga cctv kamera.
Aisee we ndo umenistua.. jion mahesabu via VAR ya cctv
 
Back
Top Bottom