ramadhani kimweri
Senior Member
- Apr 22, 2016
- 181
- 179
Nina wazo la biashara.
Ninataka kuuza mchele kwenye pakeng. Kuanzia kilo hadi kilo 25kg, ila sijui wapi nianzie, na mtaji wangu sio mkubwa sana, mwenye kuweza kunisaidia kwa hili, aniambie.
Ninataka kuuza mchele kwenye pakeng. Kuanzia kilo hadi kilo 25kg, ila sijui wapi nianzie, na mtaji wangu sio mkubwa sana, mwenye kuweza kunisaidia kwa hili, aniambie.