...Fikiria kuhusu kufungua mgahawa mdogo. Daima dumu ni Lazima watu wale. Tafuta eneo lenye shughuli shughuli. muambie shemeji ama tafuta mtu apike chai ya rangi, maziwa, vitumbua, andazi, chapati, supu, maharage. ukiweza mchana pika ugali, wali na ndizi. kama una ka-friza, weka maji, soda, juisi, maziwa nk. Ukizingatia usafi ni lazima utatoka tu ndugu hata kama itachukua muda mrefu kidogo...:smiling: