mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Wana JF
Kuna wakati fulani mtu alikuja na wazo la kujenga mabwawa kila wilaya lakini kiuhalisia kuna wilaya kubwa sana zinakaribia kuitwa mkoa kutokana na ukubwa wa eneo lakini wakazi wachache.
Naona hili linaweza kufeli na serikali isipate kinachokusudiwa. Ili kuwa na kilimo chenye tija, tunatakiwa kujenga mabwawa mengi kila kata , kwingine kata zinazokaribiana zinaweza kushea maji hayo.
Tatizo la lishe nalo linaweza kupungua kama tukipandikiza samaki kwenye mabwawa hayo. Tayari serikali inaweza kutengeneza miundo mbinu ya umwagiliaji tukaepuka kukauka kwa mazao.
Tanzania tumechoka lulialia eti tumepews maji mengi lakini tunayaachia yanamwagilia Bahari badala ya kumwagilia mimea yetu.
Kuna wakati fulani mtu alikuja na wazo la kujenga mabwawa kila wilaya lakini kiuhalisia kuna wilaya kubwa sana zinakaribia kuitwa mkoa kutokana na ukubwa wa eneo lakini wakazi wachache.
Naona hili linaweza kufeli na serikali isipate kinachokusudiwa. Ili kuwa na kilimo chenye tija, tunatakiwa kujenga mabwawa mengi kila kata , kwingine kata zinazokaribiana zinaweza kushea maji hayo.
Tatizo la lishe nalo linaweza kupungua kama tukipandikiza samaki kwenye mabwawa hayo. Tayari serikali inaweza kutengeneza miundo mbinu ya umwagiliaji tukaepuka kukauka kwa mazao.
Tanzania tumechoka lulialia eti tumepews maji mengi lakini tunayaachia yanamwagilia Bahari badala ya kumwagilia mimea yetu.