Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Kilichoahidiwa na CCM na kutekelezwa kwa miaka siting na kitu kinajulikana. Uzuri na Ubaya wa sera zake unafahamika. Watanzania wanajua maisha chini ya CCM. Hakuna kiongozi wa CCM kwa sasa (awe serikalini au chamani) ambaye hajulikani na Watanzania...
Hapa ndipo kilipo kibarua cha upinzani Tanzania. Wanawezaje kuwashawishi walikatae jini walilolizoea na kulijua halafu walifungulie mlango wa nyumba lile wasilolijua...
Hapa ndipo kilipo kibarua cha upinzani Tanzania. Wanawezaje kuwashawishi walikatae jini walilolizoea na kulijua halafu walifungulie mlango wa nyumba lile wasilolijua...