Wazo la Leo!

Wazo la Leo!

ndyoko

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
4,971
Reaction score
1,652
Kwa leo wazo letu litasomeka hivi "Kosea mambo yote lakini usikosee Kuoa".

Mbaki salama waheshimiwa
 
Fafanua kidogo tuweze kupinga wazo la leo (au kulisapoti)
 
Kwa leo wazo letu litasomeka hivi "Kosea mambo yote lakini usikosee Kuoa".

Mbaki salama waheshimiwa

Ndoa ingelikuwa inajaribiwa mimi ningefanya majaribio ya wanawake wa kila aina na kila kabila kujua yupi ana kiwango cha ubora (TBS)
 
Ndoa ingelikuwa inajaribiwa mimi ningefanya majaribio ya wanawake wa kila aina na kila kabila kujua yupi ana kiwango cha ubora (TBS)
Hivyo vitu sio ready made, unatakiwa kuvifanyia kazi tu. Sio swala la kabila
 
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom