AkiliMingi AM
Member
- Jul 5, 2020
- 88
- 60
Habari wana JF
Mimi ni mkazi wa moshi elimu yangu kidato cha sita, kuna wakati nikiwa shule nilikuwa nasumbulia kichwa na mambo kadha ambayo nataka niyaweke hapa leo.
Kwanza kabisa ni kupoteza muda, niliishi nikiamini kuwa shule inanipotezea muda kwa kuwa nimejikuta nikitumia muda mwingi kupambana na shule, na kupambana kwenyewe na shule ni kwa sababu ya mzazi anataka uwe kama mtoto wa fulani ambaye mtoto wake ni dactari labda sasa unakuta akina sisi hatuna ndoto na shule kwaio tunasoma mpaka unafikisha miaka 30 unamaliza chuo akili imedumaa kiutafutaji hujui kupambana na maisha unaanza kukaa kwenu alafu inakuwa fedhea mtaani.
Jambo lingine ni biashara gani niweze kufanya yenye kuleta matokeo mazuri,niliwahi kuwaza kufanya biashara zifuatazo,
1) Saluni ya kiume.
Kwamba hapa ninakuwa namlipa msimamizi wa iyo saloon na kulipa kodi ya frame ya biashara.
2) Kufungua banda wired money
Hapa nitasimamia pekeyangu, nitakacho lipa ni kodi ya frame ya buashara.
3) Kuuza vinywaji (Pombe).
Hapa nitaeka mdasa wa kuhudumia hivyo nitamlipa, nitalipa pia sehemu ya biashara bado kuna kodi ya mapato nk.
Hapo ushauri wenu na idea zenu mpya ambazo zinaweza nijenga ki namna fln.
Je, ni kweli shule inapoteza muda?
Mimi ni mkazi wa moshi elimu yangu kidato cha sita, kuna wakati nikiwa shule nilikuwa nasumbulia kichwa na mambo kadha ambayo nataka niyaweke hapa leo.
Kwanza kabisa ni kupoteza muda, niliishi nikiamini kuwa shule inanipotezea muda kwa kuwa nimejikuta nikitumia muda mwingi kupambana na shule, na kupambana kwenyewe na shule ni kwa sababu ya mzazi anataka uwe kama mtoto wa fulani ambaye mtoto wake ni dactari labda sasa unakuta akina sisi hatuna ndoto na shule kwaio tunasoma mpaka unafikisha miaka 30 unamaliza chuo akili imedumaa kiutafutaji hujui kupambana na maisha unaanza kukaa kwenu alafu inakuwa fedhea mtaani.
Jambo lingine ni biashara gani niweze kufanya yenye kuleta matokeo mazuri,niliwahi kuwaza kufanya biashara zifuatazo,
1) Saluni ya kiume.
Kwamba hapa ninakuwa namlipa msimamizi wa iyo saloon na kulipa kodi ya frame ya biashara.
2) Kufungua banda wired money
Hapa nitasimamia pekeyangu, nitakacho lipa ni kodi ya frame ya buashara.
3) Kuuza vinywaji (Pombe).
Hapa nitaeka mdasa wa kuhudumia hivyo nitamlipa, nitalipa pia sehemu ya biashara bado kuna kodi ya mapato nk.
Hapo ushauri wenu na idea zenu mpya ambazo zinaweza nijenga ki namna fln.
Je, ni kweli shule inapoteza muda?