Wazo lenye akili: Bashe ajiuzuru ni kwa kuendesha ofisi ya umma kwa misingi ya dini

Wazo lenye akili: Bashe ajiuzuru ni kwa kuendesha ofisi ya umma kwa misingi ya dini

Mmesahahu sakata la kuanzisha ofisi ya Kadhi mkuu?

Hili taifa ni secular.

Iweje tatizo la uhaba sukari litatuliwe kipindi cha mfungo wa Ramadhani?

Wapagani na Wakristo nao wanajisikiaje?

Huyu raia wa Igad aondoke hapa Tanzania
Angesema April ungeelewa?

Wakristu sometimes tunajidhalilisha kWa kutafuta vitu vidogo vidogo na kuacha hoja za maana

Hoja kuu ni sukari…
 
sasa ndio umeandika nini hapo.
Sisi waafrika akili ndogo sana, kila kitu tunakiangalia katika mtazamo wa kidini.
 
Labda Bashe anapenda tu kuwa controversial saa nyingine, huwa namuona hata anapenda kutinga kanzu bungeni na katika ofisi yake[emoji1787]
Hili halijawah kuwa tatizo kwa mtu yyte,ila kusema sukari itakuepo Ramadhan,hapa kuna tatizo
 
sasa ndio umeandika nini hapo.
Sisi waafrika akili ndogo sana, kila kitu tunakiangalia katika mtazamo wa kidini.
We umekiangalia kwny mtazamo gani?!
Kwmb sukari itakuepo Ramadhan na sasa wakristo wanaendelea na kwaresma,au unakua punguani
 
Waisiharamu hawafai kuongoza nchi huo ndiyo ukweli ...kama siyo wao tz tusinge kuwa hapa tulipo tungekuwa juu sana
 
Mmesahahu sakata la kuanzisha ofisi ya Kadhi mkuu?

Hili taifa ni secular.

Iweje tatizo la uhaba sukari litatuliwe kipindi cha mfungo wa Ramadhani?
Hivi kumbe tatizo la ukosefu wa sukari linawaathiri waislamu tu? Kweli kwa akili hizi CCM itatawala maisha.
 
Jamiiforums hawaruhusu kutukana,
Mm ni RC, ila mwanangu wew ni mat,,ako sanaaaa,
Kwa hio sukari zinazoshushwa bandarini now ni za Ramadan?
Mbna mnawaza udini sana,
 
Mmesahahu sakata la kuanzisha ofisi ya Kadhi mkuu?

Hili taifa ni secular.

Iweje tatizo la uhaba sukari litatuliwe kipindi cha mfungo wa Ramadhani?

Wapagani na Wakristo nao wanajisikiaje?

Huyu raia wa Igad aondoke hapa Tanzania
huo ni upotoshaji na uchochezi usio na tija wala maana yeyeote 🐒

na ni kwa wenye Imani haba 🐒
 
Angesema April ungeelewa?

Wakristu sometimes tunajidhalilisha kWa kutafuta vitu vidogo vidogo na kuacha hoja za maana

Hoja kuu ni sukari…
Tanzania hamna Mkristo wala Muislamu safi ila watu Wahuni wamejificha kwa mwamvuli wa dini.Hakuna taifa lenye watu walioishika dini likawa masikini kwa rushwa na ufisadi.Rejea Libya ya Gadafi nenda mpaka Qatar uko na nchi za Scandinavia huko ndiyo Kuna watu wana hofu ya Mungu na Wana maendeleo ya kweli na uwizi wa mali za umma haupo na kama upo basi ni kwa bahati mbaya.
Tanzania ni pango la walanguzi na vibaka,hamna dini!
 
Mmesahahu sakata la kuanzisha ofisi ya Kadhi mkuu?

Hili taifa ni secular.

Iweje tatizo la uhaba sukari litatuliwe kipindi cha mfungo wa Ramadhani?

Wapagani na Wakristo nao wanajisikiaje?

Huyu raia wa Igad aondoke hapa Tanzania
Baadhi ya wakiristo mnatabu sana.
Jumamosi mapumziko
Jumapili mapumziko
Crismass
Pesa za Mou
YOTE MNAPEWA NYINYI NA HAKUNA ALIEJIUZIULU.
AKHHHH. Acheni hii nchi yetu sote
 
Mmesahahu sakata la kuanzisha ofisi ya Kadhi mkuu?

Hili taifa ni secular.

Iweje tatizo la uhaba sukari litatuliwe kipindi cha mfungo wa Ramadhani?

Wapagani na Wakristo nao wanajisikiaje?

Huyu raia wa Igad aondoke hapa Tanzania
ACHA UJUAJI WA KIJINGA
 
Ni bashe au ni basha
Asili ya hilo jina linatokana Pasha Kipersia na lilisambazwa sana na Waturuki, rejea Rustem Pasha

Waarabu wakalipokea lakini kwasababu Waarabu hawana herufi P wao wana B ndio hilo jina kuja kuhusishwa na Wafiraji wa Vijana Wadogo.
 
Mmesahahu sakata la kuanzisha ofisi ya Kadhi mkuu?

Hili taifa ni secular.

Iweje tatizo la uhaba sukari litatuliwe kipindi cha mfungo wa Ramadhani?

Wapagani na Wakristo nao wanajisikiaje?

Huyu raia wa Igad aondoke hapa Tanzania
Binafsi sioni tatizo
 
Back
Top Bottom