Inabidi mlipe VAT na import Duty.Huku usseri maji tunachota Kenya!
Ngoyoni ni jangwa pia bwashe.....ombeni hela chatoHuku usseri maji tunachots Kenya!
Sawa,kama ulitaka wafanyeje ili waonekane werevu.Kama ziwa lipo tu umbali wa kilomita mbili na mpaka leo mna shida ya maji basi niseme wakazi wa huko ni wajinga na wapumbavu
Nashauri wajengewe shule kwanza kuondoa ujinga.
Wajichange wavute maji kilomita mbili ni umbali mfupi sana kushindwa kuvuta majiSawa,kama ulitaka wafanyeje ili waonekane werevu.
akijenga barabara mnasema sio kiongozi ni msimamizi huyu.Wasukuma siyo wabinafsi, sijui huyu katoa wapi roho ya ubinafsi. Hizi taarifa kuwa ni mrundi zinaweza kuwa kweli kabisa.