LGE2024 Wazo lenye mantiki: Watanzania tuichague CHADEMA Serikali za Mitaa ili tuisimamie Serikali

LGE2024 Wazo lenye mantiki: Watanzania tuichague CHADEMA Serikali za Mitaa ili tuisimamie Serikali

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kwa ngazi ya viongozi wa serikali za mitaa ndio msingi wa kuja kupata wabunge ambao wataisimamia vyema serikali.

Tukiwa na bunge imara lenye meno tutaweza kuisimamia serikali.

Njia pekee ni kuichagua CHADEMA na si wapinzani wengine.

Viongozi wa serikali za mitaa watatengeneza njia ya kupata wabunge imara.

Nawakilisha.
Naenda na CCM
 
Back
Top Bottom