Wazo sahihi+Sehemu sahihi ila exposure ndogo dalili ya wazo kufa

Wazo sahihi+Sehemu sahihi ila exposure ndogo dalili ya wazo kufa

Write your reply...haya mambo ya fasihi sijui,peleka kwa Andanenga,au shaban Robert,sisi hapa tunatafuta hela,basi....
 
Mbulula sana jamaa nyie, kwakuandika sizani anayenifikia mimi nimewaweka sawa juu still bado wengi wenu munaonekana weupe kabisa, niki-qoute mada nilizoandika humu utajua naandika contents zilizonyooka kiasi gani ila sitaki id yangu nyengine itambulike tu.

Nimechagua niwasilishe kwa namna navyotaka mie na ndivyo na ndivyo nilivyowasilisha mada sasa hamuelewi nini, je ingekuwa ni passage umepewa kwenye interview ungemwambia muuliza mwaswali uwelewi, jukwaa limejaa akili ndogo kufata mkumbo, mada ijataka mtu atoe jibu wala kukwambia cha kujibu munafosi kuandika utumbo tu.

Munaelekezwa munaboa nyie jamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani sijakuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe naona umemwelewa..alafu yupo chuo!!!!
QUOTE="Hornet, post: 30433634, member: 139475"]Nimejaribu kukuelewa ila sijakuelewa![/QUOTE]
 
Back
Top Bottom