Wazo/ushauri wa biashara nina mtaji wa laki tatu (3) Dodoma mjini

Kama kuna mtu anaweza risk pesa yake 50,000/= mpaka 80,000/= tufanye biashara pamoja anicheki chap | kuna migahawa nishaongea nayo na mameneja wake wanachosubiri niwapelekee mfano wa mfuko na bei husika kwa hapa nahiyaji mifuko midogo ya kufungia ubwabwa, chips nk iwe bei ndogo sana maana tutuiuza mingi.... | namtaka mtu wa kazikazi pia yutakuwa na mikubwa kiasi mbinu mzima nitakwambia tunafanyaje.

Now nimepata matatizo sina kitu ndio maana nataka uyo mtu chap kwa leo tu maana kufikia kesho naweza kusaidika.
 
We jamaaa upo nomaaaa
 
Nipe namb zako blood
 

Salute.
 
Biashara ni kujituma, but nzuri ni iyo namba mazao maana una uzoefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…