Wazo: Utamjua mtu kwa kundi la rafiki zake

Wazo: Utamjua mtu kwa kundi la rafiki zake

Gaijin,

Nakubaliana na wewe asilimia mia kitakachom-haunt Kikwete milele ni jinsi alivyochukua madaraka ! Rushwa nyingi sana ilitembea na zaidi walitumia mamilioni ya shilingi toka benki kuu . Kikwete haoni mbali yeye alitumia ile principle ya "The end justify the means " ...

Mimi nashindwa kuelewa kama hii kasi ikiendelea baada ya miaka miwili tutabakiwa na nini ? Hivi mnajua ni watoto wangapi Tanzania wanakufa kutokana na kukosekana kwa huduma bora za za afya au kutokana na magonjwa ambayo yangeweza kutibiwa ? Wakati watu wana mamilioni ya dola wameyahifadhi huko nje. Hivi mtu kama Mkapa na Kigoda wanawezaje kulala usingizi huku wakiona dhahiri umasikini wa mtanzania unavyoongeza na wakati huo wanajua kabisa part waliyoplay katika kunyonya mali zao.

Hivi watu wanajua ya kuwa hela tunazongumzia billioni 25, zingeweza kujenga shule moja ya sekondari ya kisasa katika kila mkoa !Nadhani ni muhimu kwa watu wa JF kuacha kuzungumzia hela kama hela bali tuzungumzie hiyo hela ingeweza kufanya nini ili kila mzalendo aweze kuelewa , kwani watanzania wengi esp wa vijijini hawahui impact ya bilioni 25. Tunaenda wapi , kwa nini our leaders are so mean ?

Hivi kweli mkisia mtu kama Mkapa amepata matatizo mtalia ? wakati indirectly amehusika na vifo vingi vya watoto na wakina mama wajawazito kutokana na huduma mbovu za afya.
 
I think its time to start calling for JK's head now.Enough is enough, 2010 naona ni mbali sana. Hivi katiba yetu inasemaje kuhusu 'vote of no confidence?'. It is so annoying kwa kuwa wengi tunajua kuwa ndani ya CCM kuna watu safi na makini ambao wangefanya kazi nzuri kama wangepewa hizo nafasi za uwaziri lakini JK kwa sababu zake binafsi anawapa washkaji zake ulaji huku akijua wazi kwamba ni wachafu na hawafai kuongoza hata kondoo!
 
Hakuna kura ya maoni kuhusu Rais ipo kuhusu Waziri Mkuu. Njia pekee ya kumuondoa Rais ni through impeachment na kuna makosa ambayo yanaweza kumuondoa (impeachable offenses) na kutompenda au kuchukizwa naye siyo baadhi yake.
 
ni yesu pekee ndie aliyeweza kuongozana na makahaba, wahalifu, na watoza ushuru, lakini mwisho wa yote walikuja kuwa watu saaafi...hao watu safi waliopo CCM ni wasafi kwa kuwa hawajapata channel ya kutuibia.
ila ukweli ni kuwa hata JK achague baraza la mawaziri tena uharo utakuwa ni huu huu tu, kwa sababu msitu utakuwa mpya ila nyani ni wale wale.
 
Mtu - Jakaya Mrisho Kikwete

Rafiki zake:

- Marehemu Ditopile Ukiwaona Mzuzuri (alijiuzulu baada ya kutuhumiwa mauaji)
- Edward Lowassa (alijiuzulu kutuhumiwa matumizi mabaya ya cheo)
- Rostam Aziz (kabanwa na Bunge kuhusu ufisadi)
- Andrew Chenge (kajiuzulu sababu ya ufisadi)
- Ibrahim Msabaha (kajiuzulu kutokana na matumizi mabaya ya cheo chake)
- Nazir Karamagi (kajiuzulu kutokana na matumizi mabaya ya cheo)
- Rashid Othman (kashindwa kuongoza Usalama wa Taifa)
- Robert Manumba (Kashindwa kuongoza idara ya upepelezi wa makosa ya jinai hadi Rais anaunda timu nyingine ya kuchunguza uhalifu)
- x,y (marafiki wengine ambao wataingia matatani miezi michache ijayo)

Conclusion:

Any.
Naamini katika miujiza.Pamoja na madudu yote haya yanayofanywa na CCM,Wanamtandao na Kikwete mwenyewe tusishangae sana kama CCM ikichaguliwa na wabongo kwa kishindo cha Tembo kumla mwanawe. Kazi kweli kweli!
 
Naamini katika miujiza.Pamoja na madudu yote haya yanayofanywa na CCM,Wanamtandao na Kikwete mwenyewe tusishangae sana kama CCM ikichaguliwa na wabongo kwa kishindo cha Tembo kumla mwanawe. Kazi kweli kweli!

kweli kabisa ndugu yangu ulichokisema.
tena hao hao kina chenge, lowassa, karamagi na wenzao ndo watashinda kwa wingi wa kura mpaka JF tutaona aibu hata kuwajadili tena.
 
Mtu - Jakaya Mrisho Kikwete

Rafiki zake:

- Marehemu Ditopile Ukiwaona Mzuzuri (alijiuzulu baada ya kutuhumiwa mauaji)
- Edward Lowassa (alijiuzulu kutuhumiwa matumizi mabaya ya cheo)
- Rostam Aziz (kabanwa na Bunge kuhusu ufisadi)
- Andrew Chenge (kajiuzulu sababu ya ufisadi)
- Ibrahim Msabaha (kajiuzulu kutokana na matumizi mabaya ya cheo chake)
- Nazir Karamagi (kajiuzulu kutokana na matumizi mabaya ya cheo)
- Rashid Othman (kashindwa kuongoza Usalama wa Taifa)
- Robert Manumba (Kashindwa kuongoza idara ya upepelezi wa makosa ya jinai hadi Rais anaunda timu nyingine ya kuchunguza uhalifu)
- x,y (marafiki wengine ambao wataingia matatani miezi michache ijayo)

Conclusion:

Any.

Mwanakijiji umeniwahi,

Nilikuwa nimeanza utafakari ule wimbo wa the Hollies "He ain't heavy..He's my brother" nikapiga uluzi na kuhoji msalaba anaoubeba Kikwete kwa hawa "Band of Brothers" nikajiuliza, je huu wimbo si wafaa sana kuonyesha jinsi gani Mtandao wanabebana?

Maana machozi ya Kikwete akitoa wasifu wa Lowassa ile siku alipoongea na wazee wa CCM Dar na Taifa, na hata alivyozungumzia mambo ya Marehemu Dito enzi zile na huku kujivuta vuta kwake kwa wazi kuchukua hatua madhubuti kuna tofauti gani na maneno ya huu wimbo? Au wao "wapendwa" ndio wanaoimba huu wimbo kuhusu yeye Kikwete?

lyrics zake zinasema hivi:
The road is long With many a winding turn That leads us to who knows where
Who knows where But I'm strong Strong enough to carry him He ain't heavy, he's my brother

So on we go His welfare is of my concern No burden is he to bear We'll get there

For I know He would not encumber me He ain't heavy, he's my brother

If I'm laden at all I'm laden with sadness That everyone's heart Isn't filled with the gladness Of love for one another

It's a long, long road From which there is no return While we're on the way to there
Why not share

And the load Doesn't weigh me down at all He ain't heavy he's my brother

He's my brother He ain't heavy, he's my brother

For those who have never heard the song, listen to it here
http://www.youtube.com/watch?v=e7HPqi5uVeo
 
Does know one knows where the ownner of SAMAX Limited is,ni mtanzania..yupo hai kweli??

Connection the dot...

Hawa jamaa nakumbuka walikuwa na kaofisi kao pale kwenye jengo la ule mgahawa wa Alcove enzi zile za naintini kweusi..
 
Hakuna kura ya maoni kuhusu Rais ipo kuhusu Waziri Mkuu. Njia pekee ya kumuondoa Rais ni through impeachment na kuna makosa ambayo yanaweza kumuondoa (impeachable offenses) na kutompenda au kuchukizwa naye siyo baadhi yake.

Kushindwa kutekeleza wajibu siyo kisa la kumuondoa?
 
Back
Top Bottom