Wazo : utumishi walimu tulikuwa tunaomba mtuwekee Mic kwenye oral interview kama itawezekana

Wazo : utumishi walimu tulikuwa tunaomba mtuwekee Mic kwenye oral interview kama itawezekana

Mmea Jr

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2016
Posts
798
Reaction score
1,871
Hayawi hayawi sasa yamekuwa ,,, "" hamna zipo ,,hamna zipo " hatimaye majibu yamepatika
Bila shaka utumishi wameprove kile wanachokisimamia,,, kuwa hamna mtu atakaye pata kazi kwa kupitia utumishi bila kufanya interview

Sasa basi kesho zoezi la kuendesha sahili za walimu nchi zima linaenda kuanza ,, ratiba inaonesha watu wa masomo ya sayansi ndiyo wanatufungulia shughuli yetu na kutokana na uchache wao imekuwa advantage kwao maana wataanza na orol interview moja kwa moja ...

Hivyo basi wote tunajua ,, binadamu tumetofautiana wapo wafupi wapo warefu ,,, hivyo hivyo wapo wenye sauti kubwaa na wapo wenye sauti ndogo ,, lakini ukubwa au udogo wa sauti hauondoi sifa ya mtu kuwa mwalimu kwani tumeona watu wenye sauti ndogo lakini bado wakawa walimu wazuri kuliko wale wenye sauti kubwa

Mfano Albert Einstein ,, mwanasayansi wa ki-israeli ambaye alikulia ujerumani na baadae kukimbilia nchini marekani na kuishia kuwa miongoni mwa walimu wazuri wa somo la sayansi licha ya kuwa na sauti ndogo lakin pia kutokuwa na uwezo mzuri wa lugha ya kiingereza bado aliweza kulimudu darasa lake vizuri kwa msaada wa mic

kwa niaba ya walimu wenzangu wote bila kujali ni wa sayansi au sanaa ,, tulikuwa tunaomba tuwekewe mic wakati wa oral interview ili iwe rahisi kusikika kile tunachoongea na panel yote ya utumishi ukizingatia wengine wakati tunatema yai sauti zetu automatically huwa zinajipunguza ili kuepusha watu kusikia ukoseaji wa matamshi wa baadhi ya maneno wakati tunaongea


Natumaini ombi letu litakubaliwa

Wako katika kazi

Mmea ☘️
 
Labda kuanzia siku zijazo. Kwa kesho itakua ngumu sana 😜
 
Kuna watu watapewa Ile mic 🎤 watatemeka sana mkuu!

Umekimbusha presentation za SAUT MWANZA ilikuwa kule M9 na M10 watu mpo wengi walimu lazima utumie 🎤

Kuna jamaa alisimama pale juu! Kuangalia watu walivyoshazi akagunaa kwa nguvu afu mic 🎤 ipo on!

All in all ushauri na maoni yako ni mazurii
 
. Kwa hiyo unahisi hiyo "oral interview" inafanyika kama Mkutano wa Chama?? 🤒.

. Au mimi ndo sijaelewa ulichoandika.. 🤔🤔.
Hapana ,,, sina maana hiyo ila uwepo wa mic utatusaidia kusikika kiurahisi afu kuna namna wanaweza kui-tune ile mic sauti iwe moderate tumeona haya kwenye vikao mbali mbali vya wakubwa hasa mawaziri hivyo naamni ni ombi ambalo lipo ndani ya uwezo wao ..
 
Kuna watu watapewa Ile mic 🎤 watatemeka sana mkuu!

Umekimbusha presentation za SAUT MWANZA ilikuwa kule M9 na M10 watu mpo wengi walimu lazima utumie 🎤

Kuna jamaa alisimama pale juu! Kuangalia watu walivyoshazi akagunaa kwa nguvu afu mic 🎤 ipo on!

All in all ushauri na maoni yako ni mazurii
🤣🤣🤣🤣🤣 Ukipewa mic ili u - gain comfidence unaipulizaa kidogoo fuuuuuuuu !!! Kama wataumia masikio potelea mbali
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Ukipewa mic ili u - gain comfidence unaipulizaa kidogoo fuuuuuuuu !!! Kama wataumia masikio potelea mbali
🤣🤣🤣 Hauko seriously Mkuu! Umenichekesha sanaaa.

Unaipulizaaa fuuuuuuuu! Afu unaichapa kofi papaaaa papaaa! Afu unasema Ile salamu ya mama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

Interview iendeleeee 😂
 
Hapana ,,, sina maana hiyo ila uwepo wa mic utatusaidia kusikika kiurahisi afu kuna namna wanaweza kui-tune ile mic sauti iwe moderate tumeona haya kwenye vikao mbali mbali vya wakubwa hasa mawaziri hivyo naamni ni ombi ambalo lipo ndani ya uwezo wao ..
. Haina haja mkuu, oral interview, distance ya mhoji na mhojiwa umbali wake huwa ni hatua moja tu.. 🤒 🤒 🤒

. Hiyo mic itakuwa makelele tu, ✍️✍️
 
Hapana ,,, sina maana hiyo ila uwepo wa mic utatusaidia kusikika kiurahisi afu kuna namna wanaweza kui-tune ile mic sauti iwe moderate tumeona haya kwenye vikao mbali mbali vya wakubwa hasa mawaziri hivyo naamni ni ombi ambalo lipo ndani ya uwezo wao ..
Walimu acheni fujo basi.

......wasaili hawazidi watano, Yaani kama mpo semina room wanakaa vile viti vya mbele na wewe unakuwa hapo mbele MIC ya nini sasa?

.........Kama ni ofisini Mtatumia jumla ya viti sita tu MIC ya nini?
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa ,,, "" hamna zipo ,,hamna zipo " hatimaye majibu yamepatika
Bila shaka utumishi wameprove kile wanachokisimamia,,, kuwa hamna mtu atakaye pata kazi kwa kupitia utumishi bila kufanya interview

Sasa basi kesho zoezi la kuendesha sahili za walimu nchi zima linaenda kuanza ,, ratiba inaonesha watu wa masomo ya sayansi ndiyo wanatufungulia shughuli yetu na kutokana na uchache wao imekuwa advantage kwao maana wataanza na orol interview moja kwa moja ...

Hivyo basi wote tunajua ,, binadamu tumetofautiana wapo wafupi wapo warefu ,,, hivyo hivyo wapo wenye sauti kubwaa na wapo wenye sauti ndogo ,, lakini ukubwa au udogo wa sauti hauondoi sifa ya mtu kuwa mwalimu kwani tumeona watu wenye sauti ndogo lakini bado wakawa walimu wazuri kuliko wale wenye sauti kubwa

Mfano Albert Einstein ,, mwanasayansi wa ki-israeli ambaye alikulia ujerumani na baadae kukimbilia nchini marekani na kuishia kuwa miongoni mwa walimu wazuri wa somo la sayansi licha ya kuwa na sauti ndogo lakin pia kutokuwa na uwezo mzuri wa lugha ya kiingereza bado aliweza kulimudu darasa lake vizuri kwa msaada wa mic

kwa niaba ya walimu wenzangu wote bila kujali ni wa sayansi au sanaa ,, tulikuwa tunaomba tuwekewe mic wakati wa oral interview ili iwe rahisi kusikika kile tunachoongea na panel yote ya utumishi ukizingatia wengine wakati tunatema yai sauti zetu automatically huwa zinajipunguza ili kuepusha watu kusikia ukoseaji wa matamshi wa baadhi ya maneno wakati tunaongea


Natumaini ombi letu litakubaliwa

Wako katika kazi

Mmea ☘️
Shida inaanzia hapo tu kwenye woga , je hiyo maiki una uzoefu wa kuitumia au ndo itakusababsh na maks zipungue Kwa kutetemeka, wew be strong kapambane utatoboa
 
Back
Top Bottom