Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 7,781
- 6,966
Kwa hali ilivyo sasa madereva kupigwa mpaka kuuwawa, abiria kushushwa kwenye mabasi kimafia na kuuwawa na matukio mengine mengi ya kiharifu, ni bora wamiliki wa mabasi mkafunga Camera hizi kwenye mabasi.
Kama mnafunga ving'amuzi inashindikanaje kufunga Camera japo kwenye lango la kuingilia abiria na upande wa dereva?
Pia, nashangaa Mchina na Scania, wanatengeneza mabasi ya anasa "luxury" wanauza bei ghali wanashindwa kweli kuyawekea mifumo ya ulinzi "cabin surveillance cameras and alerts". Mbona mabasi nchi zingine yana hii mifumo?
Wamiliki fungeni hata CCTV camera za bei rahisi, mbele nyuma na kwenye lango la kuingilia, sitasaidia kuokoa mali na abiria na kukamata waharifu.
Hali inatisha.
Kama mnafunga ving'amuzi inashindikanaje kufunga Camera japo kwenye lango la kuingilia abiria na upande wa dereva?
Pia, nashangaa Mchina na Scania, wanatengeneza mabasi ya anasa "luxury" wanauza bei ghali wanashindwa kweli kuyawekea mifumo ya ulinzi "cabin surveillance cameras and alerts". Mbona mabasi nchi zingine yana hii mifumo?
Wamiliki fungeni hata CCTV camera za bei rahisi, mbele nyuma na kwenye lango la kuingilia, sitasaidia kuokoa mali na abiria na kukamata waharifu.
Hali inatisha.