HI..
Mara zote tumekuwa tukikwama kuanzisha biashara kutokana na mitaji kuwa midogo. kuna makampuni mengi amabayo yana tafuta soko la bidhaa zao.
Sasa kwa mfano mtu ukaamua kuwa agent wa kampuni hizo ili uweze kusambaza/kuuza bidhaa zao kwa wateja ambao utawatafuta wewe
Haijalishi ni kampuni ya ndani au ya nje ili mradi ile bidhaa unauhakika itauza.
Maswali
1.Vigezo vipi huhitajika ili uwe agent?
2.Je inalipa na zipi risks zake ?
Karibuni kwa maoni tujifunze kwa pamoja .
'JF THE HOME OF GREAT THINKERS'
Mara zote tumekuwa tukikwama kuanzisha biashara kutokana na mitaji kuwa midogo. kuna makampuni mengi amabayo yana tafuta soko la bidhaa zao.
Sasa kwa mfano mtu ukaamua kuwa agent wa kampuni hizo ili uweze kusambaza/kuuza bidhaa zao kwa wateja ambao utawatafuta wewe
Haijalishi ni kampuni ya ndani au ya nje ili mradi ile bidhaa unauhakika itauza.
Maswali
1.Vigezo vipi huhitajika ili uwe agent?
2.Je inalipa na zipi risks zake ?
Karibuni kwa maoni tujifunze kwa pamoja .
'JF THE HOME OF GREAT THINKERS'