wazoefu naomba ushauri

wazoefu naomba ushauri

lil pablo

Senior Member
Joined
Jan 6, 2018
Posts
108
Reaction score
51
jmosi nakuja mwanza
nakuja kutafuta frem
nataka kufungua goli la phone accessories maeneo yA mwanza
kuna kiasi kidogo nimepata nataka nisikichezee
NAOMBA USHAURI KWA WAJANJA/WANAOIJUA VIZUR
kati ya makoroboi, CBE, na kule ukiwa unatoka capri point wapi panafaa na kama unajua bei zina range ngapi kwenye frame utakua umenisaidia
natanguliza
shukrani
 
Back
Top Bottom