lil pablo
Senior Member
- Jan 6, 2018
- 108
- 51
jmosi nakuja mwanza
nakuja kutafuta frem
nataka kufungua goli la phone accessories maeneo yA mwanza
kuna kiasi kidogo nimepata nataka nisikichezee
NAOMBA USHAURI KWA WAJANJA/WANAOIJUA VIZUR
kati ya makoroboi, CBE, na kule ukiwa unatoka capri point wapi panafaa na kama unajua bei zina range ngapi kwenye frame utakua umenisaidia
natanguliza
shukrani
nakuja kutafuta frem
nataka kufungua goli la phone accessories maeneo yA mwanza
kuna kiasi kidogo nimepata nataka nisikichezee
NAOMBA USHAURI KWA WAJANJA/WANAOIJUA VIZUR
kati ya makoroboi, CBE, na kule ukiwa unatoka capri point wapi panafaa na kama unajua bei zina range ngapi kwenye frame utakua umenisaidia
natanguliza
shukrani