Erick Richard R-Madrid
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 399
- 282
Salamu wana Jukwaa....
Nimepata wazo la kuanzisha biashara ya Boda boda na Bajaji kuanzia mwezii wa 11 jijini Dar es salaam, naanza biashara hii baada ya kujibana kwa kipindi cha miaka 3 sasa.
Nimewekeza kiasi cha Milioni 10, nitaanza kwa Bajaji 1 na Boda boda 1. Nipata wazo hili huku nikiamini suala la usafiri kwa jiji la Dar es salaam bado ni Changamoto kwa ujumla.
Nimeshaanza mchakato wa kutafuta vijana wawili kutoka mtaa ninao toka, Changamoto nilizonazo kwa sasa ambazo ningependa mawazo wakuu na utatuzi ni:
1. Kwa wale wazoefu ni changamoto/ hasara gani mnakumbana nazo?
2. Mfano wa mkataba kuweza kuwapatia wafanyakazi kabla ya kuanza kazi.
3. Makusanyo ya hela yafaa kwa muda gani hasa (wiki au siku)?
4. Mbinu za kumbana dereva aweze kuleta hela kwa wakati unaotakiwa.
5. Pikipiki (boda boda) & Bajaji za kampuni gani ndo bora zaidi?
Asanteni Wakuu...
Nimepata wazo la kuanzisha biashara ya Boda boda na Bajaji kuanzia mwezii wa 11 jijini Dar es salaam, naanza biashara hii baada ya kujibana kwa kipindi cha miaka 3 sasa.
Nimewekeza kiasi cha Milioni 10, nitaanza kwa Bajaji 1 na Boda boda 1. Nipata wazo hili huku nikiamini suala la usafiri kwa jiji la Dar es salaam bado ni Changamoto kwa ujumla.
Nimeshaanza mchakato wa kutafuta vijana wawili kutoka mtaa ninao toka, Changamoto nilizonazo kwa sasa ambazo ningependa mawazo wakuu na utatuzi ni:
1. Kwa wale wazoefu ni changamoto/ hasara gani mnakumbana nazo?
2. Mfano wa mkataba kuweza kuwapatia wafanyakazi kabla ya kuanza kazi.
3. Makusanyo ya hela yafaa kwa muda gani hasa (wiki au siku)?
4. Mbinu za kumbana dereva aweze kuleta hela kwa wakati unaotakiwa.
5. Pikipiki (boda boda) & Bajaji za kampuni gani ndo bora zaidi?
Asanteni Wakuu...