Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakonektia Bashneti lakini kumbuka mtapumzika Qwayu, usisahau kuninunulia gongo pepsi moja.
hahahah...lol,I learned everything the hard way, no ready made.
Kwani sijui mie mambo yenu, kitu kidogo mnakompliketiii.
We nenda hata hapo sweat Easy au Osaka Masaki, unaagiza chakula, unaletewa makabrasha ya kujisomea.
Menyu yenyewe Chickeni breast, nimekua nikifuga kuku kijijini sijawahi ona matiti ya kuku.
Niliwatukana mgahawa mzima nikasepa zangu, nikaenda gonga chips kuku kwa Edo.
Pesa yangu mwenyewe inipasue kichwa lol.
@kongosho
Mitaa yetu ni rahisi sana kupotea kuliko ya baadhi ya miji ya wenzetu!
hahahah...lol,
Umenivunja mbavu! But hicho ndicho chakula changu mbona...
Utakonektia Bashneti lakini kumbuka mtapumzika Qwayu, usisahau kuninunulia gongo pepsi moja.
Karibu sana,Niandalie kumbi kumbi, ntakuja na pepsi mbili.
Karibu sana,
Preta atakuandalia kitu cha nyara ya taifa........Mishkaki ya mdudu pori!~! hasa hiyo mizigo yake hapo nyuma!
![]()
Kongosho umepinda kama klorokwini.I learned everything the hard way, no ready made.
Kwani sijui mie mambo yenu, kitu kidogo mnakompliketiii.
We nenda hata hapo sweat Easy au Osaka Masaki, unaagiza chakula, unaletewa makabrasha ya kujisomea.
Menyu yenyewe Chickeni breast, nimekua nikifuga kuku kijijini sijawahi ona matiti ya kuku.
Niliwatukana mgahawa mzima nikasepa zangu, nikaenda gonga chips kuku kwa Edo.
Pesa yangu mwenyewe inipasue kichwa lol.
Kongosho umepinda kama klorokwini.
Nimekuongeza kwenye list yangu ya watu naotaka kuonana nao haraka sana....Khaa!
Vyote naweza kufikiria lakini bia nayo niletewe daftari? Manina!Sijapinda babu ODM, wananichanganya sana hawa watu, tena kwa makusudi.
We jaribu tu utaona, kwanza ukifika wanaku-terrify kwa kukufunika na kitambaa shingoni ili baadae akunyonge.
Akikuhurumia anakiweka mapajani, unadhani ni coincidende kuwekwa mapajani? Kinapunguza nguvu.
Ukishaogopa, wanaanza kuleta makabrasha mjisomee, hivi kweli mie kuagiza soda au maji au bia hadi uniletee daftari?
Ugali samaki nao hadi niletewe madaftari?
Wizi mtupu.
Vyote naweza kufikiria lakini bia nayo niletewe daftari? Manina!
Ngoja tuendelee kugida huku kwa kina Esther wa Fyatanga bar. Manake akiona ODM kaingia wala haulizi, huyoo anawahi kaunta analeta Tusker Malt baridiiii we kazi yako kugida tu. Ukilewa ukaondoka bila kulipa wala haahangaiki anajua kesho ukija utalipa. Kuku wake manati ya nini?
Kwani unataka kabisa kutoka nje utembee kidogo kwenye mataa mekundu au??, au shida ni kutokomea ukishafika Amsterdam? maana husomekimkuu sio uoga nataka kupata details kwa wazoefu ili nisije nikwama nikaingia hasara kwa kutoelewa vitu vidogo.
usisahau kulizia
Red Light District in Amsterdam unafikaje?
wakuu naomba mnijulishe ni vitu gani vinahitajika mfano labda nafanya booking ya flight from Dar to Paris via amsterdam,au nataka kufika paris lakini lazima nipitie amsterdam,wale wazoefu naombeni msaada wenu.
Hayo majamaa yanachoma mbuzi sijapata ona. Yaani mbuzi wakikatiza maeneo hayo wanajikuta wanaachia ushuzi bila kupenda.Niko hapa pembenifyatanga nasuburia Nyama ya mbuzi