Kongosho umenimaliza kwa kicheko. Umenikumbusha rafiki yangu aliyeenda KFC akasema anataka Chicken thigh. Mhudumu alibaka hana mbavu.I learned everything the hard way, no ready made.
Kwani sijui mie mambo yenu, kitu kidogo mnakompliketiii.
We nenda hata hapo sweat Easy au Osaka Masaki, unaagiza chakula, unaletewa makabrasha ya kujisomea.
Menyu yenyewe Chickeni breast, nimekua nikifuga kuku kijijini sijawahi ona matiti ya kuku.
Niliwatukana mgahawa mzima nikasepa zangu, nikaenda gonga chips kuku kwa Edo.
Pesa yangu mwenyewe inipasue kichwa lol.
Hapana haifiki paris nathani umachanganya na Ait Tanzania inaenda mara mbili kwa siku.Hivi Precision haifiki Paris?
kata tiketi ya KLM utapita Amsterdam transit
Ukitaka kutoka nje labda uwe komoni flaya.
Lakini kama bado una blanket usoni, I swear tutakuona BBC, au dochi wele, alijazira au CNN unalilia kurudishwa TZ.
Watu siku ya kwanza kwenda Dar tu tulipotelea Kariakoo, tukaokolewa na ITV. Imagine walinifuata toka Tandika-Buza hadi Mikocheni.
Walosema kuku mgeni hakosi kamba mguuni walikuwa na maana sana.
khahahahaaaaaaaaahhhhhhaaaaa................!I learned everything the hard way, no ready made.
Kwani sijui mie mambo yenu, kitu kidogo mnakompliketiii.
We nenda hata hapo sweat Easy au Osaka Masaki, unaagiza chakula, unaletewa makabrasha ya kujisomea.
Menyu yenyewe Chickeni breast, nimekua nikifuga kuku kijijini sijawahi ona matiti ya kuku.
Niliwatukana mgahawa mzima nikasepa zangu, nikaenda gonga chips kuku kwa Edo.
Pesa yangu mwenyewe inipasue kichwa lol.