Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Imewashwa na engine imeshaanza kuzunguka hauoni mshale wa RPM umepanda pale......Hiyo gari haija start,funguo zinaonyesha ipo on.Hivyo ni kawaida,ikiwashwa hizo taa zitazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imewashwa na engine imeshaanza kuzunguka hauoni mshale wa RPM umepanda pale......Hiyo gari haija start,funguo zinaonyesha ipo on.Hivyo ni kawaida,ikiwashwa hizo taa zitazima
Imewashwa na engine ipo on. Tazama mshale wa RPM upo juu ina maana Engine inazunguka.hio gari ipo ON haijawashwa ndio maana hizo taa zimewaka... LAKINI HATA HIVYO KUNUNUA TOYOTA WISH kwasasa ni sawa na kununua screpa, zimepitwa na wakat zina muonekano mbaya zinalegea haraka n.k... mwambie aache ujinga gari nzuri zipo nyingi tu tena kwa bei nzuri...