Wazoefu Wa Magari; Kuna Usalama kweli hapa?

Hiyo gari haija start,funguo zinaonyesha ipo on.Hivyo ni kawaida,ikiwashwa hizo taa zitazima
Imewashwa na engine imeshaanza kuzunguka hauoni mshale wa RPM umepanda pale......
 
Imewashwa na engine ipo on. Tazama mshale wa RPM upo juu ina maana Engine inazunguka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…