hio gari ipo ON haijawashwa ndio maana hizo taa zimewaka... LAKINI HATA HIVYO KUNUNUA TOYOTA WISH kwasasa ni sawa na kununua screpa, zimepitwa na wakat zina muonekano mbaya zinalegea haraka n.k... mwambie aache ujinga gari nzuri zipo nyingi tu tena kwa bei nzuri...