jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,012
rwamuliNakushauri tengeneza la kwako, nunua bodi la murano, kisha funga engine ya rav4, ni very cheap
Kwanini mkuu?nini tatizo na Murano?Achana na Murano, utaja lia..
Kivipi mkuu,nini tatizo lake?Nakushauri tengeneza la kwako, nunua bodi la murano, kisha funga engine ya rav4, ni very cheap
Acha uvivu, kama umeweza kuingia JF huwezi shindwa angalia mtandaoni kupata taarifa za hilo gari. JiongezeHabari wakuu,wale wataalamu wa magari naomba ushairi wenu,nafikiria kununua Nissan Murano,ila sijazifahamu kwa undani wake hizi gari,
.Ni ipi engine nzuri katika aina tofauti zilizopo.
.Je zipo 4WD
.Naona kuna 4 na 6 cylinders vipi utumiaji wake wa mafuta,hasa 6?
.Nini hasa tatizo sugu za hizi gari?
.Vipi durability yake?
Bei zina range kiasi gani kwa kuagiza Japan kulinganisha na bei za showroom dar?
Wajuzi wa magari msaada tafadhali.
Gari nyingi na kama sio karibu zote tunazotumia watanzania zimepitwa na wakati!Murano ni gari nzuri ila zishapitwa na wakati.
Kwenye mtandao si rahisi wakakwambia engine flani ni nzuri kuliko ingine,pia tatizo sugu la gari husika hili hujulikan kutokana na uzoefu wa watumiaji.Acha uvivu, kama umeweza kuingia JF huwezi shindwa angalia mtandaoni kupata taarifa za hilo gari. Jiongeze
Njoo nikuuzie Nissan terrano, njoo na milioni kumiKwenye mtandao si rahisi wakakwambia engine flani ni nzuri kuliko ingine,pia tatizo sugu la gari husika hili hujulikan kutokana na uzoefu wa watumiaji.
Njooo na miliioni kumi nikupe Nissan terranoHabari wakuu,wale wataalamu wa magari naomba ushairi wenu,nafikiria kununua Nissan Murano,ila sijazifahamu kwa undani wake hizi gari,
.Ni ipi engine nzuri katika aina tofauti zilizopo.
.Je zipo 4WD
.Naona kuna 4 na 6 cylinders vipi utumiaji wake wa mafuta,hasa 6?
.Nini hasa tatizo sugu za hizi gari?
.Vipi durability yake?
Bei zina range kiasi gani kwa kuagiza Japan kulinganisha na bei za showroom dar?
Wajuzi wa magari msaada tafadhali.
Hapo kwenye njaa nimekuelewa mkuu [emoji1787][emoji1787]Sio Mtaalamu sana was Magari, ila nayajua jua kiasi chake !!
Uwezi niambia unanunua Murano alafu unamawazo ya Mafuta, Usinunue gari sababu umeona Fulani janunua !??
Juiulize maswali haya,,,,
1.Bajet yako Tsh ??
2.Matumizi yailo gari ?? Kila siku/Siku Maalumu
3.Spair Zitapatikana kwa Wakati au ndio Mpaka Uagize ??
4.Kuagiza (Pata wataalamu wanao jua Kampuni sahihi , nakwa sasa nafikiri zipo ofisi kabisa za Kuaminika za Kuagiza Hayo magari )au Kununua kwa MTU ,hakikisha umempatafundi unae mwamini ambae atakusaidia kukagua Ilo gari, Vinginevyo utafunga ndoa ya Kikristo na Hilo gari. Ogopa sana Gari lililo oshwa hasa kwenye engine !!
5.Zipo gari mbadala ambazo ni za uhakika na spare zimejaa mtaani,
6. Ogopa sana kununua gari ambalo hujawai liona Barabarani,
Ni njaa tuu zinafanya tuweweseke , Kama Mfuko Uko vizuri Gari Lolote lile linakufaa, Na pili Gari sio Kijiko kila MTU analia chakula, Ukinunua Gari hakikisha sio kila MTU anapewa aendeshe, Luna watu hawana mikono mizuri.,,,,
Murano zipo vixuri sana mkuu ila chukua ya kuanzia mwaka 2006 na kuendelea yenye cc 2480 ili pouwa sana hautajutiaHabari wakuu,wale wataalamu wa magari naomba ushairi wenu,nafikiria kununua Nissan Murano,ila sijazifahamu kwa undani wake hizi gari,
.Ni ipi engine nzuri katika aina tofauti zilizopo.
.Je zipo 4WD
.Naona kuna 4 na 6 cylinders vipi utumiaji wake wa mafuta,hasa 6?
.Nini hasa tatizo sugu za hizi gari?
.Vipi durability yake?
Bei zina range kiasi gani kwa kuagiza Japan kulinganisha na bei za showroom dar?
Wajuzi wa magari msaada tafadhali.
Vipi kuhusu aina ya engine mkuu,maana hizo 4 cylinder nimeona zina aina tofauti tofauti za engine mkuu.Murano zipo vixuri sana mkuu ila chukua ya kuanzia mwaka 2006 na kuendelea yenye cc 2480 ili pouwa sana hautajutia
Mimi ninayo
Hapana mkuu,na prefer kuagiza mwenyewe.Njooo na miliioni kumi nikupe Nissan terrano