Mshua's
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 804
- 553
Wakuu habari zenu!
Nilikuwa na ndoto siku nyingi ya kusomea nje ya nchi hasa nchi za wenzetu za ughaibuni. Nimehitimu masomo yangu katika Chuo Kikuu Huria almaarufu kama 'OUT', na sasa nataka nikachukulie masters huko ughaibuni almaarufu kama 'mamtoni'. Sasa swali langu kwa waliopitia mfumo wa elimu kama huu wa OUT, je scholarships kwa wahitimu wa OUT huwa zinapatikana kirahisi? Na je vyeti vya kuthibitisha kuwa uko-compitent kwenye English language vya IETL na TOEFL vinapatikana wapi? Nimeangalia vyuo vyote wanahitaji hivi vyeti. Nina Upper Second katika social science subjects.
Natanguliza heshima katika michango yenu!
Mshua
Nilikuwa na ndoto siku nyingi ya kusomea nje ya nchi hasa nchi za wenzetu za ughaibuni. Nimehitimu masomo yangu katika Chuo Kikuu Huria almaarufu kama 'OUT', na sasa nataka nikachukulie masters huko ughaibuni almaarufu kama 'mamtoni'. Sasa swali langu kwa waliopitia mfumo wa elimu kama huu wa OUT, je scholarships kwa wahitimu wa OUT huwa zinapatikana kirahisi? Na je vyeti vya kuthibitisha kuwa uko-compitent kwenye English language vya IETL na TOEFL vinapatikana wapi? Nimeangalia vyuo vyote wanahitaji hivi vyeti. Nina Upper Second katika social science subjects.
Natanguliza heshima katika michango yenu!
Mshua