Wazungu bwana

Ulionyesha udhaifu Mkubwa Sana kumpisha muxungu
 
Bora uliifuta😂😂😂😂
Usingefanya hivo usingekua Mr Unknown tena 😂😂😂yalaaaah.
 
Bora ulivyofuta namba. Ungempigia saa hizi ungekuwa unaandika uzi wa kuulizia dawa ya kutuliza maumivu ya nyero.

Wazungu sio watu wazuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…