Wazungu hawapendi wanawake wenye makalio makubwa. Haya mambo yako huku kwetu Afrika tu

Wazungu hawapendi wanawake wenye makalio makubwa. Haya mambo yako huku kwetu Afrika tu

Siku kadhaa nyuma nilibahatika kuwa na wazungu waliokuja hapa ofisini kwetu kwa shughuli flani.

Katika story za hapa na pale wakaniuliza kwa nini wanawake wengi wa kiafrica wamenenepa makalio?

Nikawajibu ndio raha yetu sisi wanaume zao tukiyaona.

Jamaa wakaniambia kule kwao mwanamke akiwa na makalio makubwa wao wanamchukulia kama ulemavu.


Hili suala limenishangaza kidogo.

Huku kwetu Africa baadhi wanawake wanaenda Turkey kufanyiwa surgery za kuongeza wezere kumbe huko duniani wenzetu wanauchukulia kama ulemavu?
Hauwezi kuchukia maumbo ambayo mwenyezi Mungu hajakuumbia, yaani ambayo hayapo, pia hauwezi kupenda maumbile yasiyokuwepo.

Wanawake wa kizungu hawana makalio, kwa hiyo wanaume zao lazima wawapende kwa namna walivyo.
 
Siku kadhaa nyuma nilibahatika kuwa na wazungu waliokuja hapa ofisini kwetu kwa shughuli flani.

Katika story za hapa na pale wakaniuliza kwa nini wanawake wengi wa kiafrica wamenenepa makalio?

Nikawajibu ndio raha yetu sisi wanaume zao tukiyaona.

Jamaa wakaniambia kule kwao mwanamke akiwa na makalio makubwa wao wanamchukulia kama ulemavu.


Hili suala limenishangaza kidogo.

Huku kwetu Africa baadhi wanawake wanaenda Turkey kufanyiwa surgery za kuongeza wezere kumbe huko duniani wenzetu wanauchukulia kama ulemavu?
So na wewe ukaamini kuwa wazungu waligundua procedures za kuongeza matako kwa ajili ya wa Afrika?

Kisha wakaweka stations za kufanya hizo procedures kwao Wkt wateja wako Africa🤣❓.

Kwani ki halisia nature ya wanawake gani wana matako makubwa, Black or White?? Na ww nani amekuelez kuwa wanawake wa Africa wanazaliwa na matako makubwa kwa sababu ww unayapenda??

Unajua Ni kina nani wanaongoza kufanya plastic surgery???
 
Hao wazungu hawana akili kama wanashindwa kutambua uwepo wa culture differences. Vilevile European women na African women wana body phenotype tofauti. Wao wana viuno vipana sawa na makalio na wanawake wetu wana viuno vyembamba na hips pana kwa ajili ya kuhifadhi mafuta sababu huku ni joto kitu kinachopelekea kuwa na very attractive defined figures sio kama yale mabox figure yao huko kwao. Ndio maana mwanamke wa Kiafrika hata akiwa mwembamba bado atabaki kuwa na kalio. Na sio kwamba wananenepesha wenyewe.

Vilevile sisi genetically nature imetu-program kupenda misambwanda. That's why naona siwezi kuvutiwa na European au Asian women kabisa baada ya kufikia umri fulani wa kuanza kujali uzuri wa mwili badala ya sura pekee. Hata sura zao sizielewi kabisa. Mimi niletee Aisha ndio tutaelewana lakini sio Anastasia.

Nin wasiwasi hii thread umeitunga tu na kama ni kweli basi waambie fuk them and that we don't give two fuks about their preferences.
 
Siku kadhaa nyuma nilibahatika kuwa na wazungu waliokuja hapa ofisini kwetu kwa shughuli flani.

Katika story za hapa na pale wakaniuliza kwa nini wanawake wengi wa kiafrica wamenenepa makalio?

Nikawajibu ndio raha yetu sisi wanaume zao tukiyaona.

Jamaa wakaniambia kule kwao mwanamke akiwa na makalio makubwa wao wanamchukulia kama ulemavu.


Hili suala limenishangaza kidogo.

Huku kwetu Africa baadhi wanawake wanaenda Turkey kufanyiwa surgery za kuongeza wezere kumbe huko duniani wenzetu wanauchukulia kama ulemavu?
Mbali na wanaofanya cosmetics surgery, mwanamke fat deposition inaenda makalioni na mapajani natumaini kama umepitia somo la physiology ili linaeleweka mtu kusema ulemavu ni wivu tu huyo. Yaan kitu natural useme ulemavu .

Wazungu wanatumia ghalama sana kupata maumbo niliona dasa mmoja anafanyiwa surgery ya kupunguza nyama za kidevu kwa ghalama kubwa zaidi ya 60 ml ili tu awe na mwonekano.
 
Hahaaaa daahh trako lina faida na hasara yake asa we kimashine chako kidogo A.k.a Kibamia na trako A.K.A chura wap na wap ndo mana wazungu hawayawez hayo mambo akina ss Mandingo afu uliposition hilo trako stail flani 😋😋 ivii ya Doggy Yeleee uwiii asiposema unagusa kizazi au ile nundu nyama ya ndani basi ujue bado , kwa hivi English figure polen xana dkk 2 utasikia nimechoka hapo mi ndo nachoka kabisaa...
 
Siku kadhaa nyuma nilibahatika kuwa na wazungu waliokuja hapa ofisini kwetu kwa shughuli flani.

Katika story za hapa na pale wakaniuliza kwa nini wanawake wengi wa kiafrica wamenenepa makalio?

Nikawajibu ndio raha yetu sisi wanaume zao tukiyaona.

Jamaa wakaniambia kule kwao mwanamke akiwa na makalio makubwa wao wanamchukulia kama ulemavu.


Hili suala limenishangaza kidogo.

Huku kwetu Africa baadhi wanawake wanaenda Turkey kufanyiwa surgery za kuongeza wezere kumbe huko duniani wenzetu wanauchukulia kama ulemavu?
Kila mtu ashinde mechi zake.....wakomae nao vimbau mbau achana na mitulinga yetu....tupambane nayo.....daaa mingine ina fungus lakini....
 
Back
Top Bottom