Wazungu kuiita Serikali yetu "Regime" ni sawa?

Wazungu kuiita Serikali yetu "Regime" ni sawa?

Maana ya regime ni nini? je, neno regime lina maana sawa na government?

Niliwasikia wajumbe wa kamati mojawapo ya European Union wakisema Tanzania kuna regime ambao alipewa hela za covid-19 wakati wenyewe wanasema hakuna covid.

Neno walilotumia ni sahihi kiasi gani?
Regime ni utawala.
 
Back
Top Bottom