Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,363
Likija suala la utajiri utachukiwa tu uwe mzungu ama mswahili kutakuwa na wivu na chuki. Tumeshuhudia Diamond alivyonunua Rolls-Royce.
Malaki ya watu wamesaini petion dhidi ya Jeff Beezos tajiri namba moja duniani wakinuombea kesho tarehe 20 akipaa anga za juu asirudi duniani tena abaki na apotelee daima hukohuko.
Jeff, kaka yake, mwanamke mzee miaka 80 na kijana miaka 18 kesho tarehe ishirini watapaa kwenda anga za juu kwenye chombo new shepherd ambapo watakaa dakika 15 na kurudi duniani.
Huyo kijana miaka 18 ni mtoto wa billionaire Muholanzi ambaye baba yake alilipa dollars za Kimarekani million 28 kupata seat na ilikuwa mnada. Baadaye akamuachia kijana wake.
Dogo darasani zinachaji sana kwenye physics na hisabati.
Ila wasirudi tu kwasababu kuna watu duniani mlo mmoja kwa siku ni shida
Malaki ya watu wamesaini petion dhidi ya Jeff Beezos tajiri namba moja duniani wakinuombea kesho tarehe 20 akipaa anga za juu asirudi duniani tena abaki na apotelee daima hukohuko.
Jeff, kaka yake, mwanamke mzee miaka 80 na kijana miaka 18 kesho tarehe ishirini watapaa kwenda anga za juu kwenye chombo new shepherd ambapo watakaa dakika 15 na kurudi duniani.
Huyo kijana miaka 18 ni mtoto wa billionaire Muholanzi ambaye baba yake alilipa dollars za Kimarekani million 28 kupata seat na ilikuwa mnada. Baadaye akamuachia kijana wake.
Dogo darasani zinachaji sana kwenye physics na hisabati.
Ila wasirudi tu kwasababu kuna watu duniani mlo mmoja kwa siku ni shida