Wazungu ni wa hovyo kuliko sisi Waafrika

Wazungu ni wa hovyo kuliko sisi Waafrika

NostradamusEstrademe

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2017
Posts
3,402
Reaction score
4,532
Wazungu pamoja na kwamba tunaona ni wastarabu na ndio walituletea ustarabu lakini upande mwingine wa shilling mambo mengine wafanya kama hamnazo na jaribu kuainisha na wewe uandike zako.
Mfano.
1.Mtu na mke wa ndoa kugoma kuzaa kisha wanataka ku enjoy lakini wana asili mtoto
2.Kuoa mke zaidi ya mmoja ni dhambi lakini ndoa za jinsia moja ni haki za binadamu


Ongeza za zako
 
Ndio hasara za kupiga nyeto ni pamoja na kuandika upuuzi
Ndio hasara ya kusoma ukitegemea utakuwa na maisha mazuri kisha unaingia mtaani hakuna ajira unaanza kuvuta cha Arusha unakuwa na maneno machafu.Unashindwa kutofautisha logic na reasoning.Hili jina lako la kificho unaonekana umekwenda shule lakini ni tabula rasa.

Hivi wewe unaona mtu kukataa kuzaa kisa wanataka kuenjoy lakini hapo hapo wanaasili mtoto unaona imekaa sawa?
Au wanakuambia kuoa mke zaidi ya mmoja ni dhambi kubwa sana lakini ndoa ya jinsia moja ni haki za binadamu unaona ina logic gani hapo?.
 
Serikali inatumia Ma Billion ya fedha kuwahesabu hawa Wananchi wenye akili hizi si bora ingewakadiria tu aisee daah...yaani wamenunua na Vishikwambi sijui kwa sababu ya huyu mzala na nyuzi yake ya Wazungu ni watu hovyo..hii inaweza ikawa nyuzi ya hovyo kwa mwaka huu wote 2024..
 
Wazungu pamoja na kwamba tunaona ni wastarabu na ndio walituletea ustarabu lakini upande mwingine wa shilling mambo mengine wafanya kama hamnazo na jaribu kuainisha na wewe uandike zako.
Mfano.
1.Mtu na mke wa ndoa kugoma kuzaa kisha wanataka ku enjoy lakini wana asili mtoto


Ongeza za zake
Usijidanganye kuwa mzungu kakuletea ustaarabu.

Basi bata neno "ustaarabu" halistuwi akili yako?

Wazungu wamekuletea ushetani.
 
Wazungu pamoja na kwamba tunaona ni wastarabu na ndio walituletea ustarabu lakini upande mwingine wa shilling mambo mengine wafanya kama hamnazo na jaribu kuainisha na wewe uandike zako.
Mfano.
1.Mtu na mke wa ndoa kugoma kuzaa kisha wanataka ku enjoy lakini wana asili mtoto


Ongeza za zake
NI KAWAIDA CHIZI KUONA WAZIMA KIAKILI KAMA WAO NDO MACHIZI.Mtoa thread endelea kujidanganya maisha ya hao wazungu yapo calculated sio kama sisi tunabahatisha kuishi.
 
Usijidanganye kuwa mzungu kakuletea ustaarabu.

Basi bata neno "ustaarabu" halistuwi akili yako?

Wazungu wamekuletea ushetani.
Kweli kabisa mkubwa wangu.Ingekuwa kwenye hii jamii forum unaweka na mwaka wa kuzaliwa tungekuja kugundua wengi humu ni watoto wetu.Inasikitisha sana kizazi cha sasa mtu anashabikia mambo ya upinde.
Hata Marekani nako Donald Trump hii kitu amesema hawezi ruhusu nchini kwake amesema hili jambo sio jambo la kawaida na ndio kilichompa kura nyingi dhidi ya Democrat.Raisi Putin mwenyewe walijaribu wamarekani kuchomekea hii sera ya upinde akasema hawezi ruhusu nchini kwake.Watakao kamatwa yeye kama raisi chini ya utawala wake watu wa hivyo atamsaidia MUNGU kumfikishia huko mbinguni yeye mwenyewe MUNGU atatoa hukumu.
Raisi wa Korea Kaskazini wanayemwita Kiduku alipata kusema nashangaa nchi za Africa nchi za magharibi wanawafundisha kuwa wasizaane sana lakini hapo hapo wawashawishi kuwa ndoa ya jinsia moja ni haki za binadamu.
Nashangaa sana mtu ana comment kuwa wazungu wana hesabu kali unakuta mtu anaona ni sawa.

Mbona nchi za Kiarabu huu ujinga wanashindwa kuupeleka huko?
Hawa ndio vijana wetu wa kizazi hiki unaandika kitu cha logic wanakikandia inasikitisha sana.Hawa ndio watoto wetu tuliowasomesha na kuwategemea kuvusha kizazi hiki.Wengi humu wana elimu kubwa sana na nzuri tatizo wamekorogwa na hali ya maisha mtu anasoma vizuri shahada yake anakuja mtaani anakuta ajira hamna akili haziwezi kufikiria vizuri na wengine wanajiingiza kwenye nganda na ushoga inaumiza sana.

Kwa mtu muelewa na muadilifu hawezi shabikia huu ushetani ambao mataifa ya magharibi wanataka kutuletea.
Babu zetu mmoja wapo mfalme Mangungo wa Msovero walikubali kuuza nchi zao kwa kupewa shanga na pombe kali.Hawa babu zetu tunaweza wasamehe kwamba hawakuelimika lakini vijana wetu ni watu wenye elimu lakini wamepinda kiakili.
Najua nitapigwa mawe sana lakini sijali hata chembe maana nimeeleza ukweli hata MUNGU yuko na mimi siku ya mwisho akanihukumu kwanini hukuwaweka vijana wako sawa.
 

Attachments

  • guys.png
    guys.png
    251.5 KB · Views: 4
JF ya siku hizi,comment ya kwanza ukiuponda uzi basi na wengine wanaunga tu tela kuuponda!
Badala ya kudeal na mada,wataanza personal attack kwa mleta mada!
mfano wake ndio umeharibu kila kitu. mfano alioutolea ni wa kiwaki. kwani wapi imeandikwa lazima mkioana muwe na watoto? kwa hiyo anaona nongwa wakiasili watoto? huo ni ubinafsi!

hawa wa hivi ndio huwapa talaka wenza wao kisa hashiki mimba mwaka wa 3, kumbe gumba lenyewe na kwenda hosp halitaki. mimi wanaochagua kutozaa bali wakaasili watoto nawaona kwa jicho la upekee sana...sio wabinafsi na pengine anayeasiliwa ni yatima mwenye maisha duni.
 
Wazungu pamoja na kwamba tunaona ni wastarabu na ndio walituletea ustarabu lakini upande mwingine wa shilling mambo mengine wafanya kama hamnazo na jaribu kuainisha na wewe uandike zako.
Mfano.
1.Mtu na mke wa ndoa kugoma kuzaa kisha wanataka ku enjoy lakini wana asili mtoto


Ongeza za zake
Kwa watu wote wastaarabu ni mwarabu. Mwarabu ni mstaarabu kwa asili siyo dini tu. Waarabu wanaishi nyumba moja kama ndugu lakini ni vigumu kugongeana wake zao. Ni binadamu wana mapungufu lakini wanajitahidi sana na siyo eti dini ingekuwa dini minigger mieusii ingekuwa wastaarabu maana yameshikilia dini.

Mzungu siyo mstaarabu kabisa licha ya IQ kubwa. Haiwezekani mtu ukakubali waziwazi hadharani ndoa au mahusiano ya jinsia moja na ukahilalisha kabisa na ukaona sawa. Yani bora tu kunya porini kama mmatumbi kuliko kutatuliana myqoundou.
 
mfano wake ndio umeharibu kila kitu. mfano alioutolea ni wa kiwaki. kwani wapi imeandikwa lazima mkioana muwe na watoto? kwa hiyo anaona nongwa wakiasili watoto? huo ni ubinafsi!

hawa wa hivi ndio huwapa talaka wenza wao kisa hashiki mimba mwaka wa 3, kumbe gumba lenyewe na kwenda hosp halitaki. mimi wanaochagua kutozaa bali wakaasili watoto nawaona kwa jicho la upekee sana...sio wabinafsi na pengine anayeasiliwa ni yatima mwenye maisha duni.
Unaweza ukawa upo sawa kwa mtazamo wako,na mleta mada nae akawa sawa kwa mtazamo wake,

Anachoshangaa mleta mada ni kwamba,wanandoa wanaoana na kukubaliana kutokuzaa mtoto ila wanaasili mtoto ambaye sio wao! je hapo wanakua wameepuka nini? au yale makubaliano yao ya kutokua na mtoto yanakua na maana gani hapo?
 
Back
Top Bottom