Wazungu wajichimbia Tanzania -Hongera CCM tumeanza kuipita Ulaya

Wazungu wajichimbia Tanzania -Hongera CCM tumeanza kuipita Ulaya

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Nakumbuka enzi zile ,nikimaliza lasaba natafuta meli ! Baharia ndio moja ya kazi za zama zile za geza ulole ,baada ya hapo ikaingia krosiboda na hata kuingia nchi za wazung baadae ndio ikafikia kujiripuwa ,ni kubakia ulaya na kuanza kujituma tukitumai maisha yatanoga na kweli yamenoga na wengi tu wamefaidika hadi wengine kurudi na kuhamisha familia zao hapa bongo na sasa ni raia wa huko.

Ila kwa kasi ya Mheshimiwa Magufuli naona sasa Tanzania imeanza kuvutia naiona sasa ni zamu ya waulaya kujiripuwa Tanzania na kuanzisha maisha hapa na pengine kuzivuta familia zao ziishi hapa.

Kwa nionavyo sasa tunapanda,na mifano imeanza kujitokeza wazungu wanaojiripuwa ,wachina,waethiopia sasa hawaitaki tena Ulaya wanaitaka Tanzania japo wakikamatwa husema wanapita njia tu.

WaTanzania wenzangu msifanye kosa kuondoka na mlioko huko majuu msichelewe ,kasi ni kubwa ,maendeleo na hali za kipato zimeanza kuonekana na dalili ni hao wahamiaji wanaoanza kutua wakihamia kabisa.

Shime sasa ni mwendo mdundo,maisha fresh kama kilivyo chakula chetu. Yaani ukiona wahamiaji wa kizungu wanamiminika basi ujue wameshaona mbaali,inakuwaje wewe Mtanzania unabung'aa ?
 
CCM ya Magufuli kusema kweli maendeleo yanakuwa kama moto wa porini na inflastlakcha inachomoza kama uyoga mabarabara yakisasa yanakuja kwa wingi ,Mtwara Kigoma huenda ikachukua siku moja tu masaa machache ,wakigoma watakula kolosho wamtwala watakaangi futa la wese ,tanzania raha sana.
 
Wanafurahia Uhuru. Wamekimbia kwao huko wanakofungiana ndani
 
Nchi iko tuputupu hamna viwanda,maduka yakisasa nk. wazungu washagundua hapa nirahisi kuja kufanya biashara maana hakuna wabunifu bali wengi ni wapenda raha. Luna mzungu alinishangaa eti hadi pedi(always) tunaimport toka china alafu tunasema tutapeleka mitumba ulaya dah!!?!?
 
Nchi iko tuputupu hamna viwanda,maduka yakisasa nk. wazungu washagundua hapa nirahisi kuja kufanya biashara maana hakuna wabunifu bali wengi ni wapenda raha. Luna mzungu alinishangaa eti hadi pedi(always) tunaimport toka china alafu tunasema tutapeleka mitumba ulaya dah!!?!?
Ndoto za CCM ni za hovyo sana
 
Mtakatifu wewe tulia ,maendeleo yanayokuja ni ya kina kilefu,nyie msiojua kuogelea ndio mnachomolewa mmoja mmoja,mnakwiba mpaka mnamaliza hazina, si umemsikia Waziri Mkuu akipuliza dawa ya kuuwa magugu maji yaliyojaa serikalini.
Hahha sawa bwana.
Tuombe Mungu
 
Upuuzi mtupu
Yaelekea hujawahi kutoka nje ya Bongolalastan
Ni sawa na ile hadithi ya zamani ya kipofu aliyeona kwa sekunde moja na kumuona punda.Basi kila kitu yeye ni kama punda.
 
Tatizo hamna shukulani ila mkikuwa mtazitowa kwa wingi,sasa hivi ni mwendo mdundo,kwani huko majuu waliamka tu na kukuta redimedi,mbona walianza alifu na sisi kwa hapa tulipo alifu tumeshaipita,WM ameanza kusafisha magugu maji ili miradi ya kuwagusa wananchi ianze kikamilifu.

Angalia na jiwekeze usije kuachwa njiani ,halafu ukalalamika kama ulieibiwa kura.

Kubwa ni kuwa Maendeleo yanayoletwa na Mheshimiwa Magufuli hayachagui ,yanaangalia nani ni mchapaka kazi,sasa kama adui mvivu unaishi nae kalabalaho.

wadau lazima mchangamkie maendeleo haya.
 
Nakumbuka enzi zile ,nikimaliza lasaba natafuta meli ! Baharia ndio moja ya kazi za zama zile za geza ulole ,baada ya hapo ikaingia krosiboda na hata kuingia nchi za wazung baadae ndio ikafikia kujiripuwa ,ni kubakia ulaya na kuanza kujituma tukitumai maisha yatanoga na kweli yamenoga na wengi tu wamefaidika hadi wengine kurudi na kuhamisha familia zao hapa bongo na sasa ni raia wa huko.

Ila kwa kasi ya Mheshimiwa Magufuli naona sasa Tanzania imeanza kuvutia naiona sasa ni zamu ya waulaya kujiripuwa Tanzania na kuanzisha maisha hapa na pengine kuzivuta familia zao ziishi hapa.

Kwa nionavyo sasa tunapanda,na mifano imeanza kujitokeza wazungu wanaojiripuwa ,wachina,waethiopia sasa hawaitaki tena Ulaya wanaitaka Tanzania japo wakikamatwa husema wanapita njia tu.

WaTanzania wenzangu msifanye kosa kuondoka na mlioko huko majuu msichelewe ,kasi ni kubwa ,maendeleo na hali za kipato zimeanza kuonekana na dalili ni hao wahamiaji wanaoanza kutua wakihamia kabisa.

Shime sasa ni mwendo mdundo,maisha fresh kama kilivyo chakula chetu. Yaani ukiona wahamiaji wa kizungu wanamiminika basi ujue wameshaona mbaali,inakuwaje wewe Mtanzania unabung'aa ?
Hao wazungu anaosema mleta mada wako wapi mbona hatuwaoni au ni wale Wasukuma toka Chato ya Magufuli baada ya mji wao kuwa kama Ulaya?
 
Mleta mada ulisoma ulichoandika na kijidhihirisha kama umeandika hoja yenye mashiko kweli?
Ni vyema ukamuona Dr. huenda malaria sugu imekuandama la sivyo uatajikuta ile hosp. ya dodoma.
 
Mleta mada ulisoma ulichoandika na kijidhihirisha kama umeandika hoja yenye mashiko kweli?
Ni vyema ukamuona Dr. huenda malaria sugu imekuandama la sivyo uatajikuta ile hosp. ya dodoma.
Uchaguzi umemalizika sasa nongwa za nini,kura zimeibwa au tuseme kama tulivyozoea ...CCM wameiba kura...okay ,wapo tuliopiga makele humu humu jamiiforums, wapo walioshitaki kwa mwenyezi Mungu, wapo waliokwenda au kupeleka ulalamishi waliofanyiwa huko ICU na ahadi za majibu zipo njiani.

Wengine ambao kazi zetu sio siasa huwaga Uchaguzi ni suala la msimu tu.likipita tutapiga makelele wiki za mwanzo kushusha presha na baadae tunaunga foleni kwenye serikali iliyofanikiwa kunyakuwa ushindi kwa njia zozote zile alimuradi wamepata ushindi.

Kwa vile mimi sina biashara na mambo ya siasa hayo nawaachia wenyewe wenye vyama na tunaona wanavyopambana kupapatuana,kule yupo Seifu na kundi lake,huku Chadema na akina Mdee wanawindana ili kuangushana na kulinda heshima za chama chao ,yaliobaki kwa sasa ni kwa viongozi wa vyama kama watapigana,wataenda mahakamani watakaloamua haliwahusu wananchi, wananchi wao ni kuungana na Serikali kujiletea maendeleo.

Kwa nchi sasa inavyofuata dira, maendeleo ya kweli hayapo mbali sana ni suala la muda tu,hata CCM ikae milele hilo ni lake na vyama vingine watajua kushikana mashati wao viongozi kwa mbinu wanazozijua wenyewe.

Yaani kama ni kumfuata maelekezo ya Mwalimu Nyerere sasa tupo pale pa kutomuonea haya mzembe,tunaona wazembe sasa wananyofolewa kwa kulisababishia hasara Taifa.

Mvivu ,Mzembe na Mzururaji.
Serikali iliondoa uvivu ikachapa kazi sasa ipo kwenye awamu ya kuwaondoa wazembe ,,tukaribiapo kama Ulaya ,dalili za watu kujilipuwa Tanzania zipo kuna wazungu waethiopia jamaa zetu waCongo. wacomoro yaani dalili na ishara zote huko majuu zimeanza kusoma mwamko wa maendeleo ya aina yake .
 
tanzania inaenda kuwa nchi ya asali na maziwa kwa mirad ya kimkakati
Ni kweli kabisa ila wale wenye vichwa kama mapapai huwa wagumu kuelewa tunakotoka tulipo na sehemu ndogo iliyobakia kwa tunakokwenda ,sasa hivi hata ukipiga picha inatoka vizuri tofauti na miaka mitano iliyopita.
 
Ni kweli kabisa ila wale wenye vichwa kama mapapai huwa wagumu kuelewa tunakotoka tulipo na sehemu ndogo iliyobakia kwa tunakokwenda ,sasa hivi hata ukipiga picha inatoka vizuri tofauti na miaka mitano iliyopita.
Inasadikiwa Tanzania ni nchi ya tano duniani kwa maisha rahisi. Mzungu akistaafu akaja Tanzania hupenda abaki hapa kwa sababu akiwa na akiba yake ya pensheni 500,000 dola ya Marekani. Anaweza akaishi Tanzania kwa riba tu kila mwaka na hela asiiguse. Kwa Afrika ni Tz tu yenye sifa hizo. Kwa hiyo kama umeona mzungu kibabu au kibibi ni kistaafu kimehamia hapa kile pensheni polepole. Lakini Kijana mzungu anaetafuta maisha hawezi kuja kuishi Tz labda awe mkurugenzi Wa kampuni kubwa. Fursa za watafuta maisha hatujawa nazo maana hatuna uchumi mkubwa
Wa viwanda. Sisi tukienda ulaya tunafanya Kazi za kitumwa na bado zinatulipa kuliko Kazi za ofisni hapa bongo , hiyo ndio tofauti ya sisi na wao.
 
Mimi si shabiki wa siasa Ila ninachofahamu maendeleo hayana chama....huyu mzee katumia muda wake vzuri,nikiiangalia ile moro road daah afu na kule kilwa road kinachoendelea..baada ya miaka 10 mbele tanzania tupo mbali.
 
Back
Top Bottom