Wazungu walijuaje kuwa miji yao itakuja kuwa na foleni za magari miaka 200 kabla wakaweka road reserve pana?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Nafahamu kuwa huko USA na Ulaya kuna miji ilibomolewana kusukwa upya, ila kuna miji haijapoteza uhalisia wake kwa miaka na miaka, cha kushangaza kuna miji ina barabara za lane 8 na ni masterplan ya karne mbilli zilizopita, jamaa walijuaje kuwa kutakuja kuwa na foleni hapo baadae maana usafiri wa enzi hizo ulikuwa punda na farasi.

Ukifika Zanzibar mji mkongwe utanielewa, barabara zilikuwa designed kwaajili ya punda na farasi, barabara zina upana wa mita mbili au tatu.
 
Ufikiri au fikra za ngozi nyeupe na nyeusi havikaribiani hata kidogo.
 
Mimi huwa nashanga namna mamlaka zetu za Serikali zinavyoacha miji yetu ijegwe kiholela.
Mfano Dar kiuhalisia kama Dar ingekuwa inafuata mipango miji hata Kimara mwisho makazi ya watu yasingefika..

Yaani Dar imekuwa kama likijiji likubwaaaa!
 
Kwamba hiyo miti wakivuna watoto wako watafaidi sana?
Mzee maisha yetu huku hayatabiriki unaweza kujitesa wewe watoto wakaja gombania urithi wakauza kwa hasara hayo mambo yanatokea na tunayaona, pia kuna suala la dhulma pia lipo mwenye hela akiamua kuliiba hilo eneo anahonga Serikalini na anachukua.
 
Narudia tena watu kama nyinyi ni washamba
Na kuutaja mji mkongwe wewe ni mbulula haswa,
Na wale mafwamba ya porini mmejaa halmashauri za Dar es Salaam mnavuja majengo yote ya kihistoria kutokana na upoyoyo wa akili

Hapa ni Italy




Na hapa ni Barcelona Spain
 

Attachments

  • 1719181953795.png
    3.9 MB · Views: 2
Kwenye suala la mipango ya muda mrefu, mipango miji na ngozi nyeusi haviwezi kukaa pamoja.

Ukicheki hapa Dar toka mzungu atuachie Masaki na Oysterbay ndio basi. Wakati sasa ilibidi nchi nzima tuwe na miji safi iliyopangika, barabara zenye upana wa kueleweka.

Hii nchi inabidi yote ipimwe upya. Na ukiangalia huko Dodoma walipohamia, jinsi wanavyochelewa kuipima ndivyo itajiozea na kuwa na mipangomiji ya hovyo kama Dar.

Mtu mweusi ni ngumu kuwa na ustaarabu hivyo lazima alazimishwe kuwa na ustaarabu kwa lazima kuanzia mjini mpaka vijijini.
 
IQ

nimemaliza
 
Mimi huwa nashanga namna mamlaka zetu za serikali zinavyoacha miji yetu ijegwe kiholela.
Mfano dar kihualisia kama dar ingekuwa inafuata mipango miji hata kimara mwisho makazi ya watu yasingefika..

Yaani dar imekuwa km likijiji likubwaaaa!
Hujafika Nairobi wewe, kuna sehemu inaitwa kibera, ni kijiji cha pili kwa ukubwa Africa nzima baada ya soweto na kipo katikati ya jiji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…