Ufikiri au fikra za ngozi nyeupe na nyeusi havikaribiani hata kidogo.Nafahamu kuwa huko USA na ulaya kuna miji ilibomolewana kusukwa upya,ila kuna miji haijapoteza uhalisia wake kwa miaka na miaka,cha kushangaza kuna miji ina barabara za lane 8,na ni masterplan ya karne mbilli zilizopita,jamaa walijuaje kuwa kutakuja kuwa na foleni hapo baadae,maana usafiri wa enzi hizo ulikuwa punda na farasi.
Ukifika Zanzibar mji mkongwe utanielewa,barabara zilikuwa designed kwaajili ya punda na farasi,barabara zina upana wa mita mbili au tau
Watu tangu wanazaliwa Afrika unaogopeshwa uchawi unategemea nini zaidi..Sie tunafeli wapi
Ila kweli ukifa je..miaka 20 mingi sana.Mtu mweusi mwambie panda mti baada ya miaka 20 utavuna mbao, anakuuliza Nikifa je? Hawazi kuhusu kizazi chake. Hii ndio race inayoongoza kwa ubinafsi dunia nzima.
Kwamba hiyo miti wakivuna watoto wako watafaidi sana?Ila kweli ukifa je..miaka 20 mingi sana.
Hao wazungu hawana presha pesa wanazo hivyo hawa stress!
Mimi huwa nashanga namna mamlaka zetu za Serikali zinavyoacha miji yetu ijegwe kiholela.Nafahamu kuwa huko USA na ulaya kuna miji ilibomolewana kusukwa upya,ila kuna miji haijapoteza uhalisia wake kwa miaka na miaka,cha kushangaza kuna miji ina barabara za lane 8,na ni masterplan ya karne mbilli zilizopita,jamaa walijuaje kuwa kutakuja kuwa na foleni hapo baadae,maana usafiri wa enzi hizo ulikuwa punda na farasi.
Ukifika Zanzibar mji mkongwe utanielewa,barabara zilikuwa designed kwaajili ya punda na farasi,barabara zina upana wa mita mbili au tau
Mzee maisha yetu huku hayatabiriki unaweza kujitesa wewe watoto wakaja gombania urithi wakauza kwa hasara hayo mambo yanatokea na tunayaona, pia kuna suala la dhulma pia lipo mwenye hela akiamua kuliiba hilo eneo anahonga Serikalini na anachukua.Kwamba hiyo miti wakivuna watoto wako watafaidi sana?
Narudia tena watu kama nyinyi ni washambaNafahamu kuwa huko USA na ulaya kuna miji ilibomolewana kusukwa upya,ila kuna miji haijapoteza uhalisia wake kwa miaka na miaka,cha kushangaza kuna miji ina barabara za lane 8,na ni masterplan ya karne mbilli zilizopita,jamaa walijuaje kuwa kutakuja kuwa na foleni hapo baadae,maana usafiri wa enzi hizo ulikuwa punda na farasi.
Ukifika Zanzibar mji mkongwe utanielewa,barabara zilikuwa designed kwaajili ya punda na farasi,barabara zina upana wa mita mbili au tau
Mwinyi anaupiga mwingi hatutaki Uchaguzi aongezewe miaka saba.....mama anaupiga mwingi...kusiwe na uchaguzi...... Hilo ndio tatizo.Sie tunafeli wapi
IQNafahamu kuwa huko USA na ulaya kuna miji ilibomolewana kusukwa upya,ila kuna miji haijapoteza uhalisia wake kwa miaka na miaka,cha kushangaza kuna miji ina barabara za lane 8,na ni masterplan ya karne mbilli zilizopita,jamaa walijuaje kuwa kutakuja kuwa na foleni hapo baadae,maana usafiri wa enzi hizo ulikuwa punda na farasi.
Ukifika Zanzibar mji mkongwe utanielewa,barabara zilikuwa designed kwaajili ya punda na farasi,barabara zina upana wa mita mbili au tau
Hujafika Nairobi wewe, kuna sehemu inaitwa kibera, ni kijiji cha pili kwa ukubwa Africa nzima baada ya soweto na kipo katikati ya jiji.Mimi huwa nashanga namna mamlaka zetu za serikali zinavyoacha miji yetu ijegwe kiholela.
Mfano dar kihualisia kama dar ingekuwa inafuata mipango miji hata kimara mwisho makazi ya watu yasingefika..
Yaani dar imekuwa km likijiji likubwaaaa!