Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 43,960 Reaction score 77,533 Jun 24, 2024 #21 Sasa, inakuwaje hadi watu wanaitwa "madokta" huku Afrika kwa akili hizi?
G granitized JF-Expert Member Joined Jul 5, 2016 Posts 3,249 Reaction score 7,948 Jun 24, 2024 #22 Allency said: Hujafika Nairobi wewe, kuna sehemu inaitwa kibera, ni kijiji cha pili kwa ukubwa Africa nzima baada ya soweto na kipo katikati ya jiji. Click to expand... Wanaita slums sio vijiji maana hakuna mashamba, kwa sa slum kubwa ipo Cape town, halafu ni ya pili ya kwanza ni Kibera ya Nairobi. Ongeza madini kichwani ephen_
Allency said: Hujafika Nairobi wewe, kuna sehemu inaitwa kibera, ni kijiji cha pili kwa ukubwa Africa nzima baada ya soweto na kipo katikati ya jiji. Click to expand... Wanaita slums sio vijiji maana hakuna mashamba, kwa sa slum kubwa ipo Cape town, halafu ni ya pili ya kwanza ni Kibera ya Nairobi. Ongeza madini kichwani ephen_
ephen_ JF-Expert Member Joined Oct 28, 2022 Posts 14,949 Reaction score 54,485 Jun 24, 2024 #23 granitized said: wanaita slums sio vijiji maana hakuna mashamba, kwa sa slum kubwa ipo cape town, halafu ni ya pili ya kwanza ni kibera ya nerobi. ongeza madini kichwani ephen_ Click to expand... Naunga mkono hoja yako
granitized said: wanaita slums sio vijiji maana hakuna mashamba, kwa sa slum kubwa ipo cape town, halafu ni ya pili ya kwanza ni kibera ya nerobi. ongeza madini kichwani ephen_ Click to expand... Naunga mkono hoja yako