Wazungu waliona mbali kuja na self contained room

Wazungu waliona mbali kuja na self contained room

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Civilization ni kiashiria kizuri cha intelligence wenzetu wametupiga gap katika vitu vingi Moja wapo ni hili la self contained room japo hata sisi kwa Sasa tumeamua kwenda nao sambamba ila muanzilishi ana baki kuwa muanzilishi na tutawajibika kumpa credit zake.

Choo Cha kushare kina changamoto zake kubwa zaidi ni uchafu pia kwa mahusiano ni hatari kinaweza kuvunja ndoa.

Kwa mfano mimi leo nimeingia majaribuni kutamani mali ya mwenzangu kama mnavyojua wenge la kuamka asubuhi ukiwa umebanwa na haja ndogo nimetoka nduki kwenda toilet bila hodi nasukuma mlango namkuta mke wa jirani yangu akiwa anaoga japo ni kitendo cha sekunde kadhaa na kama mnavyojua macho hayana pazia image ya mwili wake akiwa mtupu yote imebaki kichwani.

Ikabidi ni apologize lakini mpaka saa hivi nikipishana naye akiwa kavaa nguo picha ya kwanza nayopata ni ile akiwa anaoga na shanga zake mbili kiunoni nyekundu na nyeupe.

Kuishi kwenye self contained room ni more safe na privacy ni hali ya juu kwa wale wenza wanaopenda kwenda kuoga kwa pamoja ni friendly kulinganisha na bafu la public.
 
Tusha zoea uswazi nataka nikiwa nalala naona Mali zangu

FB_IMG_1721374029274.jpg
 
Civilization ni kiashiria kizuri cha intelligence wenzetu wametupiga gap katika vitu vingi Moja wapo ni hili la self contained room japo hata sisi kwa Sasa tumeamua kwenda nao sambamba ila muanzilishi ana baki kuwa muanzilishi na tutawajibika kumpa credit zake.

Choo Cha kushare kina changamoto zake kubwa zaidi ni uchafu pia kwa mahusiano ni hatari kinaweza kuvunja ndoa.

Kwa mfano mimi leo nimeingia majaribuni kutamani mali ya mwenzangu kama mnavyojua wenge la kuamka asubuhi ukiwa umebanwa na haja ndogo nimetoka nduki kwenda toilet bila hodi nasukuma mlango namkuta mke wa jirani yangu akiwa anaoga japo ni kitendo cha sekunde kadhaa na kama mnavyojua macho hayana pazia image ya mwili wake akiwa mtupu yote imebaki kichwani.

Ikabidi ni apologize lakini mpaka saa hivi nikipishana naye akiwa kavaa nguo picha ya kwanza nayopata ni ile akiwa anaoga na shanga zake mbili kiunoni nyekundu na nyeupe.

Kuishi kwenye self contained room ni more safe na privacy ni hali ya juu kwa wale wenza wanaopenda kwenda kuoga kwa pamoja ni friendly kulinganisha na bafu la public.
Siwezi kulala na Puu chumbani !
 
Civilization ni kiashiria kizuri cha intelligence wenzetu wametupiga gap katika vitu vingi Moja wapo ni hili la self contained room japo hata sisi kwa Sasa tumeamua kwenda nao sambamba ila muanzilishi ana baki kuwa muanzilishi na tutawajibika kumpa credit zake.

Choo Cha kushare kina changamoto zake kubwa zaidi ni uchafu pia kwa mahusiano ni hatari kinaweza kuvunja ndoa.

Kwa mfano mimi leo nimeingia majaribuni kutamani mali ya mwenzangu kama mnavyojua wenge la kuamka asubuhi ukiwa umebanwa na haja ndogo nimetoka nduki kwenda toilet bila hodi nasukuma mlango namkuta mke wa jirani yangu akiwa anaoga japo ni kitendo cha sekunde kadhaa na kama mnavyojua macho hayana pazia image ya mwili wake akiwa mtupu yote imebaki kichwani.

Ikabidi ni apologize lakini mpaka saa hivi nikipishana naye akiwa kavaa nguo picha ya kwanza nayopata ni ile akiwa anaoga na shanga zake mbili kiunoni nyekundu na nyeupe.

Kuishi kwenye self contained room ni more safe na privacy ni hali ya juu kwa wale wenza wanaopenda kwenda kuoga kwa pamoja ni friendly kulinganisha na bafu la public.
ko umeshndwa kushka hata kalio mke wa jiran mkuu.
 
Alijisemeaga mzee majuto, hawezi kulala na mimavi chumbani hahaha
Ustaarabu wa wazungu mnatuletea huku Wamatengo, mimi nikiwa na mume wangu tunachukua hoteli yenye choo cha nje. siwezi lala na puu , tena mbaya unakuta puu ya mtu mwengine kakuachia alikula chips maini inanuka kama sumu ya mamba iliyooza.
 
Ustaarabu wa wazungu mnatuletea huku Wamatengo, mimi nikiwa na mume wangu tunachukua hoteli yenye choo cha nje. siwezi lala na puu , tena mbaya unakuta puu ya mtu mwengine kakuachia.
Tena kule umatengoni milimani saa nyingine mnaenda kumaliza haja zenu kwenye mikahawa hahaha
 
Civilization ni kiashiria kizuri cha intelligence wenzetu wametupiga gap katika vitu vingi Moja wapo ni hili la self contained room japo hata sisi kwa Sasa tumeamua kwenda nao sambamba ila muanzilishi ana baki kuwa muanzilishi na tutawajibika kumpa credit zake.

Choo Cha kushare kina changamoto zake kubwa zaidi ni uchafu pia kwa mahusiano ni hatari kinaweza kuvunja ndoa.

Kwa mfano mimi leo nimeingia majaribuni kutamani mali ya mwenzangu kama mnavyojua wenge la kuamka asubuhi ukiwa umebanwa na haja ndogo nimetoka nduki kwenda toilet bila hodi nasukuma mlango namkuta mke wa jirani yangu akiwa anaoga japo ni kitendo cha sekunde kadhaa na kama mnavyojua macho hayana pazia image ya mwili wake akiwa mtupu yote imebaki kichwani.

Ikabidi ni apologize lakini mpaka saa hivi nikipishana naye akiwa kavaa nguo picha ya kwanza nayopata ni ile akiwa anaoga na shanga zake mbili kiunoni nyekundu na nyeupe.

Kuishi kwenye self contained room ni more safe na privacy ni hali ya juu kwa wale wenza wanaopenda kwenda kuoga kwa pamoja ni friendly kulinganisha na bafu la public.
Sasa hapo kuna kosa gani?
 
Ha
Ustaarabu wa wazungu mnatuletea huku Wamatengo, mimi nikiwa na mume wangu tunachukua hoteli yenye choo cha nje. siwezi lala na puu , tena mbaya unakuta puu ya mtu mwengine kakuachia.
Hahaha......ukute mwenzio ndani anaharisha sasa......ile sauti ya Tatataaa....fyuuu! Unazisikia kama ni demu wako na mzuka unakata.

Bora choo cha shimo nje huko kwenye majani
 
Alijisemeaga mzee majuto, hawezi kulala na mimavi chumbani hahaha
Unaingia chumba saa moja usiku unakuta kuna jamaa katoka kuacha puu yake chumnba kinanuka wanakuja wahudumu wanapulizia air fresher wapi, jamaa unakuta usiku wake alikula chip maini puu inanuka kama sumu ya mamba.
 
Back
Top Bottom