Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Kati ya mwaka 1500 na 1800 kulitokea biashara ya utumwa ambayo inaitwa barbary slave trade. Hii ilifanywa na watu wa Morocco, Tunisia, Libya na Algeria ambao walikuwa wanafanya wazungu watumwa.
Inaonekana katika kipindi hicho kati ya wazungu 1m hadi 1.25m walifanywa watumwa huko Afrika ya kaskazini. Hawa jamaa walichokuwa wanafanya ni kuvamia meli za wafanyabiashara na kufanya mateka kuwa watumwa. Pia walikuwa wakivamia vijiji vya ufukweni mwa Italy, Spain, Ureno, Ufaransa, Uholanzi, Uingereza, Ireland hadi iceland. Biashara hii ilikoma pale wamarekani, waingereza-waholanzi kwa nyakati tofauti walipoipiga miji ya Algiers na Tunis kwa mabomu
Inaonekana katika kipindi hicho kati ya wazungu 1m hadi 1.25m walifanywa watumwa huko Afrika ya kaskazini. Hawa jamaa walichokuwa wanafanya ni kuvamia meli za wafanyabiashara na kufanya mateka kuwa watumwa. Pia walikuwa wakivamia vijiji vya ufukweni mwa Italy, Spain, Ureno, Ufaransa, Uholanzi, Uingereza, Ireland hadi iceland. Biashara hii ilikoma pale wamarekani, waingereza-waholanzi kwa nyakati tofauti walipoipiga miji ya Algiers na Tunis kwa mabomu