Wazungu walipokuwa watumwa wa waarabu?

Wazungu walipokuwa watumwa wa waarabu?

Ila jamaa anataka kutuaminisha kwamba mtu mweusi alifanya utumwa bila pingamizi yoyote. Anapotosha. Kwenye historia kuna muafrika mtumwa alijifunza kusoma. Akaanzisha uasi wa watumwa. Alipata mafanikio madogo mwanzoni lakini alishindwa na madhara yalikuwa mabaya sana, kuna stori pia ya watumwa walioteka meli iliyowabeba. Pia huko uarabuni kuna kitu kinaitwa Zenj rebellion. Ni watu weusi watumwa walioasi.
I agree to disagree with him!.
Waafrica since day one tu wanafiki!, tunamuabudu mzungu sana kiasi kwamba kuna wenzetu walikuwa tayari wawe viongozi wa watumwa wenzao ila sio viongozi wa waafrica wenzao!.
Haya wengine wakapata akili lakini ikawa akili za kuvukia barabara wao kama wasomi wakashindwa pigania swala moja matokeo yake unakutana na kina Malcom X, Martin Luther, Elijah Muhammad etc hawa wote kila mmoja akawa anapigania la kwake!.
So kanye kusema tulipenda maybe its true!.
Napingana naye sababu hajaiclarify statement yake!.
 
Yap hata wayahudi waliwahi Kuwa watumwa kwa zaidi ya miaka 500
 
Kanye west katoka sema"Kukaa utumwani miaka 400 waafrika ni uzembe wenu!."
Nadhan ukifuatila kwa makini interview ya kanye na tmz..alimaanisha jamii ya waamerika ƙaskazini....alisema pia kwa miaƙa zaidi ya 400 sasa wako katika utumwa akimaanisha toƙa miaka ya 1501 biashara ya utumwa ulipoanza marekani hadi 2018 :2018-1501=517yrs...
Alichajariɓu ni kutoa meseji kwa watu wote kuwa sasa watumwa wa main stream media na social media....rejea mara ya mwisho stejini kabla ya kukimɓizwa hospitali...baadhi ƴa maneno alisema... facebook is lying to you...google is lƴing to you .....n.k
Kwa kusema wanajitakia kwa kumaanisha kukubali kila jamɓo tunaloona ama kuwekwa kwenye vƴomɓo vya habari na mitandao ya kijamii pasipo kufanƴa uchunguzi wetu ɓinafsi....
Mfano...snoopy alilalamika kipinɗi fulani kwanini filamu nƴingi za huko duniani hata kama ɗirector awe mtu mweusi utakuta srcipt za mabosi wengi wanapewa wazungu ama wenƴe ngozi nyeupe na sio weusi!? Kama ni mfuatiliji mzuri nadhani utanielewa..ndo mfano wa utumwa huo anauzungumzia kanƴe west.
Asante.
 
Nadhan ukifuatila kwa makini interview ya kanye na tmz..alimaanisha jamii ya waamerika ƙaskazini....alisema pia kwa miaƙa zaidi ya 400 sasa wako katika utumwa akimaanisha toƙa miaka ya 1501 biashara ya utumwa ulipoanza marekani hadi 2018 :2018-1501=517yrs...
Alichajariɓu ni kutoa meseji kwa watu wote kuwa sasa watumwa wa main stream media na social media....rejea mara ya mwisho stejini kabla ya kukimɓizwa hospitali...baadhi ƴa maneno alisema... facebook is lying to you...google is lƴing to you .....n.k
Kwa kusema wanajitakia kwa kumaanisha kukubali kila jamɓo tunaloona ama kuwekwa kwenye vƴomɓo vya habari na mitandao ya kijamii pasipo kufanƴa uchunguzi wetu ɓinafsi....
Mfano...snoopy alilalamika kipinɗi fulani kwanini filamu nƴingi za huko duniani hata kama ɗirector awe mtu mweusi utakuta srcipt za mabosi wengi wanapewa wazungu ama wenƴe ngozi nyeupe na sio weusi!? Kama ni mfuatiliji mzuri nadhani utanielewa..ndo mfano wa utumwa huo anauzungumzia kanƴe west.
Asante.
Usipindishe maelezo statement alotoa kanye west ni kuhusu utumwa wa mtu mweusi hayo mengine ya mainstream sio kweli!.. Media zenyewe hazina miaka 100!.
 
Usipindishe maelezo statement alotoa kanye west ni kuhusu utumwa wa mtu mweusi hayo mengine ya mainstream sio kweli!.. Media zenyewe hazina miaka 100!.

Sawa Biashara ya utumwa ya binadamu sawa uliisha miaka ƴa 1800's huko america ...mi ni mtizamo wangu tu naɗhani kanye alitumia maneno ƴasiyo ƴa moja kwa moja kuelezea utumwa kwa ujumla ukiachana na binadamu miaka hiyo pia sasa kuna utumwa mpya wa main stream media kwa kueleza hizo fake news. Pia mfano kama umefuatilia tweet zake kabla ya kutamka maneno hayo
Screenshot_2018-04-26-06-15-45.jpg
Screenshot_2018-04-26-06-15-45.jpg

Pia alizungumzia mtu mweupe akimuua mtu mweusi ni tatizo kubwa ila kuna watu weusi wanauana kila leo na sio tatizo akatolea mfano alipotoka chicago..
Na mwisho akasema tuwe huru kuzungumza kile tunahisi ni sahihi na maɓishano ya kuwekana sawa ni sawa maana tunajenga jamii moja sasa dunia inachohitaji kufanya ni kupendana kama trump anamakosa yake kama binaɗamu baada ya kumsema pemɓeni kama snoop alivyotengeneza clip kama anampiga risasi haisaidii ..anachataka ni kukaa chini kwa wale wenye nafasi ya kukaa naye na kuzungumza hiki sio hiki ndio ni hayo tu.
 
Na mwisho akasema tuwe huru kuzungumza kile tunahisi ni sahihi na maɓishano ya kuwekana sawa ni sawa maana tunajenga jamii moja sasa dunia inachohitaji kufanya ni kupendana kama trump anamakosa yake kama binaɗamu baada ya kumsema pemɓeni kama snoop alivyotengeneza clip kama anampiga risasi haisaidii ..anachataka ni kukaa chini kwa wale wenye nafasi ya kukaa naye na kuzungumza hiki sio hiki ndio ni hayo tu.
sawa na maneno yake yamemvunjia mikataba sasa!..
 
Ni kweli. sababu kubwa ni kuwa utumwa wa mtu mweusi umekomeshwa hivi karibuni ndiyo maana hadi leo effects zake zipo kwetu. Imagine eti watu weusi tulikuwa watumwa hadi wa waethiopia? Ethiopia wamekomesha utumwa miaka ya 1930s tu hapo. Kwahiyo athari za utumwa wa mtu mweusi hadi leo zinaonekana.
Bado haijaisha mkuu Libya watumwa wako sokoni mpaka leo wanauzwa Kama kuku[emoji23]
 
Back
Top Bottom