Wazungu walivyokuja mitaa ya kwetu

Wazungu walivyokuja mitaa ya kwetu

mkuu ukiangalia mandhari yake utajua ni wapi ...lakini hao jama hawakuniacha solemba walinikumbuka na mfimbo wangu huo!! aisee

Mlikumbukwa wangapi katika hilo kundi lote??
 
Sasa hawa wazungu wanataka nini hadi mashambani au wanataku kulima nini nisaidieni juu ya hili
 
from my documents
information_items_1216291611.jpg
Lecturer unaniona hapo mbele. Hawa hawasemi kitu bana kwangu na zaidi wakirudi kwao lazima wapate kadigrii kao maana matirio nimewapa za kutosha. Kwa pembeni hapo utaona Ass. Lecturer karibu na huyo dada aliyevaa t shirt yenye R. Jamaa mkali huyu cku hizi!
 
mimi nilitumia nafsi hii adimu kushika bega la mzungu, tena wa kike.:A S crown-1:
 
Back
Top Bottom