Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Nah! hawatuoni kama hivyo.Maneno ya mkosaji tu hayo..
Hata sisi wanatuona hivyo hivyo kama wewe unavyowaona wenzio
Kama unazungumzia usafi wa roho basi niamini nikikwambia wazungu wengi wanapretend tu mbele ya public.[emoji3][emoji3][emoji3] sijasema kwamba ni wazuri kuzidi waafrica
Wana roho nyeupe kama ndio ni ndio kama sio ni sio
Tofauti na Kaka zangu wa Jangwani kwenu nyeupe ni nyeusi
Labda apate AlbinoUtapata TU,we tilia mkazo,weka nia
Wazungu wana sifa ya kupenda kuzibuwa mitaro, halafu ukiwa Kibonge siyo type yao kabisa.Wazima humu nyie watu,,,
Kama kichwa cha habari kilivyoandikwa hapo juu.
Nimetokea kuvutiwa na wazungu Sanaa labda hii ni kutokana na maigizo yao nayoyaangalia sana
Kubwa zaidi natamani kuchanganya rangi nipate watoto wa kizungu machotara wenye manywele
Kama kuna anaejua namna ya kuwapata hao wazungu anidokeze au kama unae unipe
Namtaka mzungu wa umri miaka 23-48
NB:
Sitaki mababu wala sitaki mali nataka ni mix color [emoji23][emoji23][emoji23]
Sina hela ya kulipia dating sites labdaa kama kuna za bure yaani free dating sites ndo unielekeze [emoji1787][emoji1787]
Kuna mtu atasema nina njaa sina nimeshibaa nawapenda tu hao watu
Pia usiulize wala usinambie nibaki na mbongo simtaki
[mention]mamamzungu [/mention] + baba mzungu
Babamzungu anahitajika kama kuna connection huko
Akikaza atapataLabda apate Albino
Wafaransa wana roho mbaya wengi wao.[emoji3][emoji3][emoji3] sijasema kwamba ni wazuri kuzidi waafrica
Wana roho nyeupe kama ndio ni ndio kama sio ni sio
Tofauti na Kaka zangu wa Jangwani kwenu nyeupe ni nyeusi
Labda wa Ukraine waliokimbia Vita kwao🤣🤣Akikaza atapata
You are entitled to your own choice, ila nahisi una slavery mentality inayotusumbua waafrika wengi Ya kuhisi ngozi nyeupe ni bora kuliko sisi.
Najiuliza majority of people from other races hazitaki kuoa au kuolewa na waafrika, kwanini ni sisi waafrika Wengi tunashobokea Kuoa au kuolewa na other races?
Bufa aliwahi sema mzungu akioa/akiolewa na mwafrika ame-downgrade, wakati mwafrika akioa au akiolewa na mzungu ame-upgrade mamamzungu
mamamzunguKubwa zaidi natamani kuchanganya rangi nipate watoto wa kizungu machotara
Wafaransa wana roho mbaya wengi wao.
Wazungu wa kweli na roho ni wa Scandinavia countries na Wamarekani, hawa wamebarikiwa haswa na Mungu na wataendelea kubarikiwa.
Mmarekani Sera yao anapopewa huduma kokote aendapo lazima aache jina zuri la Marekani, tip yao si chino ya dollar 50 popote anapopewa huduma.
Ukitaka ushuhuda si lazima use umeishi ulaya waulize tu wanaofanya kazi makampuni ya kitalii na wanaofanya kazi hotel kama Kilimanjaro, Serena na sea Cliff.
Njoo mchumba [emoji3526]Kunguru we
Unapotaka kitu unakifuata,wafuate walipo....mahoteli...sehemu za starehe zile high classic na maeneo ya utalii.Anzisha urafiki then mtaafikiana lengo lako
Mzungu kichaa, mzungu wa unga na mlete mdhungu. Kila la heri mama mzungu.
Nani alizifunga??Kumbe zimefunguliwa na sijui
Kwani unapojigjig wale unaotoa siyo wadhungu?Wazima humu nyie watu,,,
Kama kichwa cha habari kilivyoandikwa hapo juu.
Nimetokea kuvutiwa na wazungu Sanaa labda hii ni kutokana na maigizo yao nayoyaangalia sana
Kubwa zaidi natamani kuchanganya rangi nipate watoto wa kizungu machotara wenye manywele
Kama kuna anaejua namna ya kuwapata hao wazungu anidokeze au kama unae unipe
Namtaka mzungu wa umri miaka 23-48
NB:
Sitaki mababu wala sitaki mali nataka ni mix color [emoji23][emoji23][emoji23]
Sina hela ya kulipia dating sites labdaa kama kuna za bure yaani free dating sites ndo unielekeze [emoji1787][emoji1787]
Kuna mtu atasema nina njaa sina nimeshibaa nawapenda tu hao watu
Pia usiulize wala usinambie nibaki na mbongo simtaki
[mention]mamamzungu [/mention] + baba mzungu
Babamzungu anahitajika kama kuna connection huko
kwel uko tayari kwa chochote....goodluckKimtokacho mtu……
Mboni waafrica pia ni wafi……..ji. Unaonaje hilo