Ni kweli ngozi zao zinakuwa nzuri wakija Afrika kwasababu ya hari ya hewa ya joto.Sahii kabisa,
Kwa waliotembelea ulaya watathibitisha hili, wazungu weng ngozi zao mbaya Sana.
Kama vitoto vya nguruwe
Nenda holiday Zanzibar lazima utawapata lakini lazima husiwe na tako na kusiwe mnene na huwe mlevi na kuvuta sigaraNitawapatia wapi sasa[emoji23]
Hizi ni fantasy tu ya mtu, hazimaanishi kwamba wao ni boraYou are entitled to your own choice, ila nahisi una slavery mentality inayotusumbua waafrika wengi Ya kuhisi ngozi nyeupe ni bora kuliko sisi.
Najiuliza majority of people from other races hazitaki kuoa au kuolewa na waafrika, kwanini ni sisi waafrika Wengi tunashobokea Kuoa au kuolewa na other races?
Bufa aliwahi sema mzungu akioa/akiolewa na mwafrika ame-downgrade, wakati mwafrika akioa au akiolewa na mzungu ame-upgrade mamamzungu
Toka lini mmarekani akawa na Roho nzuri? Ni kwaajili ya hizo tips?Wafaransa wana roho mbaya wengi wao.
Wazungu wa kweli na roho ni wa Scandinavia countries na Wamarekani, hawa wamebarikiwa haswa na Mungu na wataendelea kubarikiwa.
Mmarekani Sera yao anapopewa huduma kokote aendapo lazima aache jina zuri la Marekani, tip yao si chino ya dollar 50 popote anapopewa huduma.
Ukitaka ushuhuda si lazima use umeishi ulaya waulize tu wanaofanya kazi makampuni ya kitalii na wanaofanya kazi hotel kama Kilimanjaro, Serena na sea Cliff.
Naona umeangalia pochi ila ngoja nikupe ushauri wale ukiwa omba omba anakukataaMbona umekazania sana mambo ya uzuri na ubaya
Mbona hamsemi kuna wabingo wanaume wanajichubua na kujipaka make-up ili waonekane wazuri
Mimi sijasema nawataka coz ni wazuri
Nileteeni mthungu nasema
🤣Wanathimbaaa, mlete MDHUNGU
Kama unazungumzia usafi wa roho basi niamini nikikwambia wazungu wengi wanapretend tu mbele ya public.
Tofauti na sisi bro zako wa jangwani, tuko real na honest kama kibovu tunasema kama kizuri tunasema.
Mpaka hapo bado unataka wazungu?
Labda apate Albino
Wazungu wana sifa ya kupenda kuzibuwa mitaro, halafu ukiwa Kibonge siyo type yao kabisa.
I had a friend who was desperate to be married to Mzungu and she made it, pambana it will happen sio kuzaa Tu na kuolewa pia
Wafaransa wana roho mbaya wengi wao.
Wazungu wa kweli na roho ni wa Scandinavia countries na Wamarekani, hawa wamebarikiwa haswa na Mungu na wataendelea kubarikiwa.
Mmarekani Sera yao anapopewa huduma kokote aendapo lazima aache jina zuri la Marekani, tip yao si chino ya dollar 50 popote anapopewa huduma.
Ukitaka ushuhuda si lazima use umeishi ulaya waulize tu wanaofanya kazi makampuni ya kitalii na wanaofanya kazi hotel kama Kilimanjaro, Serena na sea Cliff.
Mzungu kichaa, mzungu wa unga na mlete mdhungu. Kila la heri mama mzungu.
Labda wa Ukraine waliokimbia Vita kwao[emoji1787][emoji1787]
Huyu lazima jua lishazama wabongo hatumtaki sasa anadhani atapata mizungu awatishwe kitu kizito [emoji1787]
Ngoja azunguke mwishoe atakileta tu kwa wamatumbi dakika za lala salama tumpe hata mtoto mmoja wa kumliwaza tupo tumekaa pale.
Hajui mkuu yeye kakariri anadhani mizungu yote ni sawa.
Huyu ataliwa na Manara akidhani ni zungu [emoji1787]
Njoo mchumba [emoji3526]