Wazungu wamenivutia zaidi

Wazungu wamenivutia zaidi

Wazima humu nyie watu,,,

Kama kichwa cha habari kilivyoandikwa hapo juu.

Nimetokea kuvutiwa na wazungu Sanaa labda hii ni kutokana na maigizo yao nayoyaangalia sana

Kubwa zaidi natamani kuchanganya rangi nipate watoto wa kizungu machotara wenye manywele

Kama kuna anaejua namna ya kuwapata hao wazungu anidokeze au kama unae unipe

Namtaka mzungu wa umri miaka 23-48

NB:
Sitaki mababu wala sitaki mali nataka ni mix color [emoji23][emoji23][emoji23]
Sina hela ya kulipia dating sites labdaa kama kuna za bure yaani free dating sites ndo unielekeze [emoji1787][emoji1787]

Kuna mtu atasema nina njaa sina nimeshibaa nawapenda tu hao watu

Pia usiulize wala usinambie nibaki na mbongo simtaki


[mention]mamamzungu [/mention] + baba mzungu

Babamzungu anahitajika kama kuna connection huko
safi sana
 
Back
Top Bottom