TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,747
Ndiyo wanajua kuna Watanzania Majuha wanawaunga Mkono . Najiuliza hivi hawa Watoto wanaopata ujauzito Mashuleni wameanza kuzuiliwa kurudi awamu hii? Nakumbuka wakati nasoma kuna wanafunzi walikuwa wakipata ujauzito, wanachukuliwa na gari la shule chini ya ulinzi wa Matron wa shule na Polis hadi anakabidhiwa kwa wazazi wake kijijini na inakuwa ndiyo nitolee.
Hiini aibu kwa taifa kabisa. Naogopa nifiche wapi uso wangu. Lazima watoto wetu wakiume nao wataomba ushoga uhalalishwe na wataanzia kuomba huko huko Mashuleni, tutafanyaje? itabidi tukubali tu.Aibu.
Mungu chukua roho za hawa vibaraka wanaonunuliwa kwa vipande vya fedha za Wazungu ili Taifa lipate kupona.
Leo akina Zitto wanajifanya wakati wanasoma hawakuona hizi Sheria za Shule zikifanyakazi kweli? AIBU
Hiini aibu kwa taifa kabisa. Naogopa nifiche wapi uso wangu. Lazima watoto wetu wakiume nao wataomba ushoga uhalalishwe na wataanzia kuomba huko huko Mashuleni, tutafanyaje? itabidi tukubali tu.Aibu.
Mungu chukua roho za hawa vibaraka wanaonunuliwa kwa vipande vya fedha za Wazungu ili Taifa lipate kupona.
Leo akina Zitto wanajifanya wakati wanasoma hawakuona hizi Sheria za Shule zikifanyakazi kweli? AIBU