Wazungu wana akili, wameweka mtego, wakifanikiwa hili la mimba mashuleni wanakuja kwenye lengo lao hasa, Ushoga!

Wazungu wana akili, wameweka mtego, wakifanikiwa hili la mimba mashuleni wanakuja kwenye lengo lao hasa, Ushoga!

nijuavyo mimi hii sheria imekuwepo toka kitambo, ni ujuha wa mtu mmoja alieropoka majukwaani mpaka ikapelekea wazungu kusikia na kuanza kutujadili, mara oohh sisi ni matajiri, kujitapa pasipokua na mpango ndio yanaletezea haya, kwa hio tukubaliane tu hamna namna!
 
Hyo sheria ilitungwa mwaka gani? Hao akina Zitto wako bungeni miaka nenda miaka rudi leo ndo wanaiona baadfa ya Magufuli kudhibiti mianya yao ya kutuibia?
Usiwe nakichwa chepesi kusahau ,ccm miaka yote ndiyo wagonga meza ...utawalaumu akina zito waliokua watatu pengine ,sema bunge LA ccm.sio LA jamhuri yamuungano tz almaarufa LA Tanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatulazimishwi na wazungu kuwa mashoga.

Kama unataka kuwa shoga hata leo hakuna anayekukataza.
Wala hayuko polisi anayepita vyumbani mwa watu kutafuta mashoga.

Leo hii ukiamua kuwa shoga, hukamatwi, na huna kisingizio cha kusema umelazimishwa na wazungu.

Kama ni suala la kukosa mkopo kwa kutojua madhara ya kupangilia maneno kabla ya kusema, basi tukubali kwamba hili ndilo tatizo letu.

Mwambieni mzee Meko aongee kwa staha na heshima kwa jamii, vinginevyo haya ndiyo madhara yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ndio wanaharakati wa Tanzania, Sasa jiulize mtu Kama huyo akija kuwa Rais siku moja ujue kabisa tumekwisha.
Nadhani huyu mtu sio bure kuna faida fulani anaipata kwa kufanya haya anayo yafanya.
 
Hatulazimishwi na wazungu kuwa mashoga.

Kama unataka kuwa shoga hata leo hakuna anayekukataza.
Wala hayuko polisi anayepita vyumbani mwa watu kutafuta mashoga.

Leo hii ukiamua kuwa shoga, hukamatwi, na huna kisingizio cha kusema umelazimishwa na wazungu.

Kama ni suala la kukosa mkopo kwa kutojua madhara ya kupangilia maneno kabla ya kusema, basi tukubali kwamba hili ndilo tatizo letu.

Mwambieni mzee Meko aongee kwa staha na heshima kwa jamii, vinginevyo haya ndiyo madhara yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba nikukumbushe tu kwamba, WB hawakuzuia mkopo kwasababu heti Rais amesema kuwa hasomeshi wajawazito bali huyu anaye jiita mwana harakati mh Zitto kaandika barua kwa WB akiwaomba kuzuia mkopo kwasababu anataka watoto wenye mimba waruhusiwe kusoma.
Sasa kwanini kaandika barua hiyo ya kuomba kuzuia huo mkopo? Ni kwasababu Rais alisema? Kama ni hivyo yeye Zitto haukuwa anajua hii sheria kuwa ipo siku nyingi Kama kujua baada ya Rais kusema??
Je mh Zitto ni kweli kuwa anaunga mkono mimba mashuleni??
Au lengo lake ni nini hasa kumkomoa Rais??
 
Usipotoshe wingi wa wabunge bungeni ndo inawakosti hivyo ,njia zikonyingi
nijuavyo mimi hii sheria imekuwepo toka kitambo, ni ujuha wa mtu mmoja alieropoka majukwaani mpaka ikapelekea wazungu kusikia na kuanza kutujadili, mara oohh sisi ni matajiri, kujitapa pasipokua na mpango ndio yanaletezea haya, kwa hio tukubaliane tu hamna namna!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maoni: Serikali ianzishe Mimba Girls secondary school. Shule iwe na clinic ndani, malimao, maembe mabichi yawepo pamoja na ambulance ya kuwapeleka wajawazito hospitali.
Kisha mabeberu waje wafungue na watoe ufadhili.
Walimu wote wa shule hizo wawe wanawake watu wazima pekee.
 
Nadhani ka hilo ndio limempeleka Zitto huko na aende zake huko akawaombe WB watunyime huo mkopo. Mimi si mtetezi wa serekali ila nasema; Kama sharti la kuupata huo mkopo ni lazima kubadili sheria na kuruhusu mimba mashuleni, basi na tuukose.
Sheria hii haikuanza leo, imekaa nasi tangu uhuru, ndo maana wanawake wengi wakasoma. Sasa kama mnaanza kuruhusu huu mchezo shuleni nadhani mnamaliza kabisa kaelimu ketu haka ka kuungaunga.
We msichana; Huwezi kutumikia mabwana wawili. Huku shule huku mtoto na jioni ukitoka uende kumtumikia bwanako pia kwani yeye ndiye atakuwa anakulipia shule mahitaji yako yote. Uwezo huo unao??
Najua wapo mtakaosema; Mbona wanaojiunga na pprivate schools huwa wanafanya vyema?? Sawa, lakini wachunguze mapito wanayo yapitia. Leo mkiruhusu huu upuuzi ndo mtajua mlikoenda.
Tusikubali ujinga huu. Heri tukose mkopo huu ku;liko aibu inayo fuata
Hakuna aliyesema mimba ziruhusiwe mashuleni bali mtoto hapaswi kupewa adhabu ya kukosa elimu kisa tu amepata mimba akiwa shuleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili la watoto wa kike kupata mimba limekuwepo kwenye sheria za shule toka enzi za mchonga.

Ni malimbukeni wa kujikomba kwa mabeberu ndio wanadhani wataendelea kula grants in the name of social justice and human rights advocacy.

Kuna watu wanapata moto as if ni JPM ndiye kaasisi utaratibu huu mashuleni. Kwanza ikumbukwe enzi tunasoma, kosa la uasherati tu ( hata kama mimba haijaingia) ilikuwa ikithibitika watu walikuwa wanapugwa.

Umasikini mbaya sana. Unakopa kwa ajili ya shule, yet anaekukopesha kwa kuwa wao moral decay is the "culture" in their communities wanataka na sisi tulegeze msimamo, walete tabia huria za hivyo kwenye jamii zetu.

Mambo haya, mbona mabeberu hawayatiliii maanani kwa nchi kama Saudia?

Poverty is very very expensive

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi watulie waache kulilia misaada kwanza wameshasema Tanzania ni donor country.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo mimba zianze kuruhusiwa shule za msingi na sekondari? kutakuwa na maadili kweli? Hao WB wana maslahi gani na watoto kupata mimba shuleni, baada ya hapo litakuja na la ushoga tusubiri tuone..
 
Basi watulie waache kulilia misaada kwanza wameshasema Tanzania ni donor country.

Sent using Jamii Forums mobile app
By the way tume-donate by implication Tril 400+ kwa kumsamehe Barrick;
Airtel nao walituibia mwaka jana tukakaa nao mezani tukasamehe tukasonga mbele.

Hatutakufa kwa kukosa mkopo wa Tril 1 amvayo ni sawa na makusanyo ys TRA ya mwezi mmoja, ni sawa na deal ya akina Kangi kama isingebuma.

Tanzania is a sovereign state. Suala la mabinti wenye mimba kutokuendelea na masomo ni la siku nyingi..ila kwa kuwa mabeberu ndiyo marefa na wamepata ma-activist wanaotegema grants toka kwao huko huko; ngoja watunyime baada ya nguzo ya muda tutakuwa na akili zaidi ya nini cha kufanya.
Kama tunakumbuka; Mwai Kibaki baada ya kunyimwa misaada 2007-2012; Kenya iliweza kubuni vyanzo vya mapato na utegemezi kwa mabeberu ulipungua sana tu.
 
Back
Top Bottom