Wazungu wana akili, wameweka mtego, wakifanikiwa hili la mimba mashuleni wanakuja kwenye lengo lao hasa, Ushoga!

Hyo sheria ilitungwa mwaka gani? Hao akina Zitto wako bungeni miaka nenda miaka rudi leo ndo wanaiona baadfa ya Magufuli kudhibiti mianya yao ya kutuibia?
Huyo magufuli amekuwa sehemu ya mafisadi kwa miaka zaidi ya 25 na mpaka sasa yeye ni miongoni mwa mafisadi waliopiga hela ndefu zaidi tangia historia ya nchi kuanza.Huo uzalendo kaanza 2015?aliyenunua kivuko kibovu na kukipeleka jeshini ili kisihojiwe sio huyu magu anayewaendesha mapopoma kama nyie msio na hata chembe ya kumbukumbu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo kama watoto wenye mimba kuzuiwa kuendelea na masomo ilianza hawamu ya kwanza basi ndo iwe sababu ya magufuli kuwazuia kusoma hata kama sheria hiyo inakiuka haki zao za kuendelea na helimu? Iko wapi maana ya neno helimu haina mwisho? Kumbuka sheria hiyo haijafafanua kuhusu wale waliobakwa,waliopata ujauzito kutokana na kuwa kwenye mazingira hatarishi ya kwenda na kutoka shuleni. Wengine ni kutokana na umaskini wa familia. Najua hata magufuli akijampa unapiga makofi kushangilia kwa hakili za inzi ulizonazo. PUMBAVU SANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahahahahaha eti huna mahali pa kuficha uso wako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…