Wazungu wana VAR wanakosea, sisi hatuna tunafungia waamuzi wetu

Wazungu wana VAR wanakosea, sisi hatuna tunafungia waamuzi wetu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Nani ameturoga? Kumfungia mwamuzi bila kudhibitisha pasipo kuacha mashaka kuwa mwanafuzi amekosea kwa makusudi na siyo kwa bahati mbaya ni kuonyesha namna tunavyodharaulika duniani.

Ni nani ana ushahidi kuwa waamuzi wetu wamekosea kwa kudhamiria? Hata sisi watazamaji tunategemea fursa ya kutazama picha za marejeo ya matukio uwanjani kubaini makosa ya waamuzi tunayotumia kuwahukumu waamuzi.

Wazungu wana marefa bora kabisa duniani wanaolipwa vizuri sana kuliko hawa wetu lakini wameona bado wanakosea hadi ikabidi watumie VAR, sisi tuna waamuzi ambao wana mafunzo ya kubabaisha na malipo ya hovyo kabisa lakini tunataka wasikosee uwanjani.

Nani katuroga? Kumfungia mwamuzi kwa kosa la kudhania sio weledi. Tufunge VAR basi ili tuwasaidie kupunguza makosa ya kibinadamu.
 
Point yako ni ya muhimu sana sana

Kuna kipindi hata mm nilikuwa najiuliza tunatumia vigezo gani kujua hapa refarii amefanya makosa kwa kudhamiria mpaka afungiwe miezi au mechi kadhaa!??

Lakn nilichokuja kukigundua ni kwamba TFF wanatumia RUNGU hilo ili kuficha madhaifu yao na kutuhadaa sisi mashbk wa soka

Kuna nyakati kama sikosei Herí Sasii alifungiwa miezi NANE alafu wakati huo huo bodi ya ligi ktk kupanga kwake ratiba za mechi ya ligi kuu wakasahau kuipangia Yanga mechi yoyote ya kucheza kwa siku kama kumi hv,

Baada ya wiki kama moja ndipo Mwenyekiti Bodi ya Ligi Steven Mnguto akajitokeza kuomba radhi kutokana na mistake hio na HAKUCHUKULIWA ADHABU/HATUA YOYOTE WALA KUWAJIBIKA KWA LOLOTE... ilhali hii ingetosha kabisa kwa Takukuru au TFF kuingilia kati kuchunguza hili jambo kwakuwa lilikuwa na viashiria vya upangaji matokeo
 
Point yako ni ya muhimu sana sana

Kuna kipindi hata mm nilikuwa najiuliza tunatumia vigezo gani kujua hapa refarii amefanya makosa kwa kudhamiria mpaka afungiwe miezi au mechi kadhaa!??

Lakn nilichokuja kukigundua ni kwamba TFF wanatumia RUNGU hilo ili kuficha madhaifu yao na kutuhadaa sisi mashbk wa soka

Kuna nyakati kama sikosei Herí Sasii alifungiwa miezi NANE alafu wakati huo huo bodi ya ligi ktk kupanga kwake ratiba za mechi ya ligi kuu wakasahau kuipangia Yanga mechi yoyote ya kucheza kwa siku kama kumi hv,

Baada ya wiki kama moja ndipo Mwenyekiti Bodi ya Ligi Steven Mnguto akajitokeza kuomba radhi kutokana na mistake hio na HAKUCHUKULIWA ADHABU/HATUA YOYOTE WALA KUWAJIBIKA KWA LOLOTE... ilhali hii ingetosha kabisa kwa Takukuru au TFF kuingilia kati kuchunguza hili jambo kwakuwa lilikuwa na viashiria vya upangaji matokeo
Mtu akiona JF pameandikwa "HOME OF GREAT THINKERS" halafu akarejea kusoma comment yako atatudharau sana aisee.
 
Nani ameturoga? Kumfungia mwamuzi bila kudhibitisha pasipo kuacha mashaka kuwa mwanafuzi amekosea kwa makusudi na siyo kwa bahati mbaya ni kuonyesha namna tunavyodharaulika duniani.

Ni nani ana ushahidi kuwa waamuzi wetu wamekosea kwa kudhamiria? Hata sisi watazamaji tunategemea fursa ya kutazama picha za marejeo ya matukio uwanjani kubaini makosa ya waamuzi tunayotumia kuwahukumu waamuzi.

Wazungu wana marefa bora kabisa duniani wanaolipwa vizuri sana kuliko hawa wetu lakini wameona bado wanakosea hadi ikabidi watumie VAR, sisi tuna waamuzi ambao wana mafunzo ya kubabaisha na malipo ya hovyo kabisa lakini tunataka wasikosee uwanjani.

Nani katuroga? Kumfungia mwamuzi kwa kosa la kudhania sio weledi. Tufunge VAR basi ili tuwasaidie kupunguza makosa ya kibinadamu.

Sensible stuff
 
yaani refa akichezesha mechi ya yanga tu anafungiwa
 
Nani ameturoga? Kumfungia mwamuzi bila kudhibitisha pasipo kuacha mashaka kuwa mwanafuzi amekosea kwa makusudi na siyo kwa bahati mbaya ni kuonyesha namna tunavyodharaulika duniani.

Ni nani ana ushahidi kuwa waamuzi wetu wamekosea kwa kudhamiria? Hata sisi watazamaji tunategemea fursa ya kutazama picha za marejeo ya matukio uwanjani kubaini makosa ya waamuzi tunayotumia kuwahukumu waamuzi.

Wazungu wana marefa bora kabisa duniani wanaolipwa vizuri sana kuliko hawa wetu lakini wameona bado wanakosea hadi ikabidi watumie VAR, sisi tuna waamuzi ambao wana mafunzo ya kubabaisha na malipo ya hovyo kabisa lakini tunataka wasikosee uwanjani.

Nani katuroga? Kumfungia mwamuzi kwa kosa la kudhania sio weledi. Tufunge VAR basi ili tuwasaidie kupunguza makosa ya kibinadamu.
UKweli mchungu, tff na bodi ya ligi zinafanya ujinga mkubwa sana kufungia fungus waamuz bila kuwapa nafasi ya kujitetea
 
Hiv kwann hawa marefa hulalamikiwa ktk mechi znazohusu sana hawa mapacha wawili????
 
Point yako ni ya muhimu sana sana

Kuna kipindi hata mm nilikuwa najiuliza tunatumia vigezo gani kujua hapa refarii amefanya makosa kwa kudhamiria mpaka afungiwe miezi au mechi kadhaa!??

Lakn nilichokuja kukigundua ni kwamba TFF wanatumia RUNGU hilo ili kuficha madhaifu yao na kutuhadaa sisi mashbk wa soka

Kuna nyakati kama sikosei Herí Sasii alifungiwa miezi NANE alafu wakati huo huo bodi ya ligi ktk kupanga kwake ratiba za mechi ya ligi kuu wakasahau kuipangia Yanga mechi yoyote ya kucheza kwa siku kama kumi hv,

Baada ya wiki kama moja ndipo Mwenyekiti Bodi ya Ligi Steven Mnguto akajitokeza kuomba radhi kutokana na mistake hio na HAKUCHUKULIWA ADHABU/HATUA YOYOTE WALA KUWAJIBIKA KWA LOLOTE... ilhali hii ingetosha kabisa kwa Takukuru au TFF kuingilia kati kuchunguza hili jambo kwakuwa lilikuwa na viashiria vya upangaji matokeo
Mbona comment Iko sawa hii?
 
UKweli mchungu, tff na bodi ya ligi zinafanya ujinga mkubwa sana kufungia fungus waamuz bila kuwapa nafasi ya kujitetea
Kuna Uzi mwembamba sana unaotenganisha makusudi na bahati mbaya kwenye maamuzi ya matukio uwanjani, ndio maana wenzetu walikimbilia kwenye VAR angalau kupunguza makosa ya kibinadam u
 
Back
Top Bottom