kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Rais Nyerere RIP alishasemaga kuwa kama mtu mwenye akili nyingi akikupa ushauri wa kijinga na wewe ukaufuata ushauri huo kama ulivyo atakudharau sana. Viongozi wengi wa Afrika walishindwa kusema NO kwa ushauri wa kijinga wenye haara nyingi kwao waliokuwa wakipewa wa wazungu. Walishindwa kusema NO kwasababu mbalimbali zikiwepo zile za:
1. Whites are always rights
2. Whites are intelligent
3. Whites know everything
4. Whites are much better (superiors) than blacks, so you can not argue with them
5. Whites are richer than blacks, saying no to them will lead into losing their financial supports
6. Whites have military powers they can use them to sack african leaders out of power if they go against them.
Rais Magufuli anaifahamu siri hii kubwa ya wazungu. Rais Magufuli anafahamu kuwa siri kubwa ya kufanikiwa ni:
1. Kuwaamini wataalam wako
2. kuwa suspicious (paranoid) na kila mtu wa nje na ndani kwenye uchumi, afya na mipango ya taifa.
3. Kuwa siri kubwa ya maendeleo ni wananchi kulipa kodi, matumizi bora ya fedha zako na kujitegemea
4. win-win projects kutoka kwa wazungu na wenye mitaji wanaotaka kuwekeza
Inawezekana sisi wenyewe hatujui lakini wazungu weshajua miaka 5 iliyopita.
1. Whites are always rights
2. Whites are intelligent
3. Whites know everything
4. Whites are much better (superiors) than blacks, so you can not argue with them
5. Whites are richer than blacks, saying no to them will lead into losing their financial supports
6. Whites have military powers they can use them to sack african leaders out of power if they go against them.
Rais Magufuli anaifahamu siri hii kubwa ya wazungu. Rais Magufuli anafahamu kuwa siri kubwa ya kufanikiwa ni:
1. Kuwaamini wataalam wako
2. kuwa suspicious (paranoid) na kila mtu wa nje na ndani kwenye uchumi, afya na mipango ya taifa.
3. Kuwa siri kubwa ya maendeleo ni wananchi kulipa kodi, matumizi bora ya fedha zako na kujitegemea
4. win-win projects kutoka kwa wazungu na wenye mitaji wanaotaka kuwekeza
Inawezekana sisi wenyewe hatujui lakini wazungu weshajua miaka 5 iliyopita.