MduduWashawasha JF-Expert Member Joined Mar 5, 2008 Posts 1,653 Reaction score 603 Jun 7, 2010 #61 kuna sehem moja ya mwili wa dada zetu ambao hata wafanyeje itabakia katika rangi yake ya kiifarika..nyeusi tiiiiiiii--kitendawili ???nipeni mji
kuna sehem moja ya mwili wa dada zetu ambao hata wafanyeje itabakia katika rangi yake ya kiifarika..nyeusi tiiiiiiii--kitendawili ???nipeni mji
M Mokoyo JF-Expert Member Joined Mar 2, 2010 Posts 15,145 Reaction score 5,566 Jun 10, 2010 #62 Mzee Mwanakijiji said: Anayetumia vipodozi vizuri huwezi kuwa na utata wa uzuri wake kwani vipodozi huuthibitisha tu. Click to expand... Ni kweli MM manake hata wanaume nao siku hizi wanaanza kupotea njia na kuwa kama hawa wanawake. Mwanaume sijui anajirembea nini?
Mzee Mwanakijiji said: Anayetumia vipodozi vizuri huwezi kuwa na utata wa uzuri wake kwani vipodozi huuthibitisha tu. Click to expand... Ni kweli MM manake hata wanaume nao siku hizi wanaanza kupotea njia na kuwa kama hawa wanawake. Mwanaume sijui anajirembea nini?
Kivumah JF-Expert Member Joined Jan 7, 2008 Posts 2,427 Reaction score 1,054 Jun 10, 2010 #63 hivi hako kadada ka Star TV nani anakagecha hapa town?