Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Tangu nikiwa mdogo nasikia bilioni kadhaa zimetolewa na Uswizi kama msaada kwenda nchi fulani ya Afrika.
Mara Marekani imetoa msaada bilioni mia 4 kwenda nchi fulani.
Lakini hizi nchi zinazoongoza kupokea misaada hali ya maisha bado ingalipo.
Mpaka leo si vyama tawala au vya upinzani kipindi cha uchaguzi wanatoa ahadi za kujenga zahanati, mara kujenga barabara n.k.
Vitu hivi kama rushwa na ufisadi vingekoma Afrika vingekuwa vimeshatatuliwa na sasa tungekuwa tunazungumza ahadi za usalama wa wananchi na mambo mengine .
Misaada ikome haraka. Tutumie pesa zetu tu huenda tutadhibiti rushwa na ufisadi
Mara Marekani imetoa msaada bilioni mia 4 kwenda nchi fulani.
Lakini hizi nchi zinazoongoza kupokea misaada hali ya maisha bado ingalipo.
Mpaka leo si vyama tawala au vya upinzani kipindi cha uchaguzi wanatoa ahadi za kujenga zahanati, mara kujenga barabara n.k.
Vitu hivi kama rushwa na ufisadi vingekoma Afrika vingekuwa vimeshatatuliwa na sasa tungekuwa tunazungumza ahadi za usalama wa wananchi na mambo mengine .
Misaada ikome haraka. Tutumie pesa zetu tu huenda tutadhibiti rushwa na ufisadi