Halafu wao watapata wapi Utajiri?
Utajiri wao unakuja kwa kutoa misaada. Kwa kufanya hivyo wanakwepa kulipa kodi kwao.
Watoa Rushwa ni wao. Watoroshajji wa fedha-capital flight-zinafanywa na wazungu hao hao, according to Pandora papers report.
Tanzania tulikuwa na Raisi aliyekataa hiyo misaada yenye masharti- mkaanza kusema "tunajitenga"
hebu fikiria kwanza-Unatoa msaada kwa masharti? Huo ni msaada ama ni mkopo?
Kama haitoshi, rushwa na Ufisadi umeletwa na wazungu. Kwamba wao ndio watoa rushwa wakubwa na wachochezi wa Ufisadi katika bara la Afrikam
Waache, hakuna anaye walazimisha. Halafu tuone huo utajiri wao wa kutoa misaada utafikia wapi.
Aluta Continua.