WB: Nchi 5 zinazokopa zaidi Mikopo ya riba nafuu kupitia dirisha la IDA. Tanzania ya 3

Jiulize ni kwanini tuko mahiri sana kutafuta mikopo lakini yanapokuja maswala ya kujitetea kwenye kesi za mahakama za biashara za kimataifa hata kuongea hatuwezi??
Tumekopa weeee mpaka wakopeshaji wametuchoka sasa wanatukopesha kwa huruma
 
Tz haina tofauti na mtu anayekwepa kukopa kwenye mabenki halali na kukimbilia ile mikopo ya chap chap / kausha damu ambayo haina maelezo mengi.
Sasa hiyo mikopo ya IDA ndio halali, tofauti na hapo ni Kausha damu
 
Mkuu sio jambo jema kuona fahari ya kuwa miongoni mwa wanufaika wakubwa mikopo hata kama ni riba nafuu! Huu ni utumwa wa kujitakia sio wa kufurahia hata kidogo.

Tunahitaji kama taifa kuangalia namna gani ya kujiondoa huko mdogo mdogo huku taratibu tukiingia kwenye kundi la kukopesha mataifa mengine, inawezekana!

Kufurahia kuitwa nchi masikini ni utahira na tusi! Tuamke tuwahoji viongozi wetu, wana mpango gani na sisi? Miaka 60 tunaogelea kwenye umasikini!
 
Kukopa haijawahi kuwa utumwa.Hakuna maendeleo bila kukopa.

Kama huo ndio mtizamo wako utaishia kuwa maskini au mtu wa level za kawaida huwezi kuwa Tajiri.
 
Unalaumu kukopa ila Kodi hutaki kulipa,hovyo sana wewe
Wewe ni taqo nini, wewe unayeishi kwa shemeji yako au shangazi yako inawezekana ndio hujui hata kodi inalipwaje,Bata Wewe!.
 
Wewe ni taqo nini, wewe unayeishi kwa shemeji yako au shangazi yako inawezekana ndio hujui hata kodi inalipwaje,Bata Wewe!.
Unalaumu kukopa ila Kodi hutaki kulipa πŸ˜‚πŸ˜‚

Serikali itaendeshwa na makamasi Yako?
 
Unalaumu kukopa ila Kodi hutaki kulipa πŸ˜‚πŸ˜‚

Serikali itaendeshwa na makamasi Yako?
Mashoga hamjui hata njia za ulipaji Kodi, mnaishi kusifia upuuzi!. Kama vipi niletee kitobo nikitanua.... Bata wewe
 
Mashoga hamjui hata njia za ulipaji Kodi, mnaishi kusifia upuuzi!. Kama vipi niletee kitobo nikitanua.... Bata wewe
Wanaolipa Kodi hawana kelele za kijinga
 
Wanaolipa Kodi hawana kelele za kijinga
Nilitegemea kuona kauli ya kiume kutoka kwako Kama wewe sio kula kulala kwq mashemeji zako au kwa mabwana zako!!, Walau ungenijibu hivi "wanaume mnaolipa Kodi hamna kelele za kijinga hivi". Ila kwakuwa wewe mma hujui hata kununua mshuma hatushangai..... Papai wewe .
 
Punguza kuvuja
 
Utaolewa, toka kwa mashemeji zako njoo mtaani uone wanaume tunavyolipa Kodi... Unalepa mipasho Kama umekaa balazani na FaizaFoxy Bata w
"balazani" ndiyo wapi huko?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…