Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
Bibi haujambo... š¤£"balazani" ndiyo wapi huko?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bibi haujambo... š¤£"balazani" ndiyo wapi huko?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Unavuja wahi uaniUtaolewa, toka kwa mashemeji zako njoo mtaani uone wanaume tunavyolipa Kodi... Unalepa mipasho Kama umekaa balazani na FaizaFoxy Bata w
Tatizo kama unavyosema siyo kukopa, bali kukopa kwa kuzingatia vipaumbele vya kitaifa, mipango iwe thabiti na usimamizi mahiri wa matumizi ya hiyo mikopo na utekelezaji wa miradi. Usimamizi huo unaweza tu kuwa na mafanikio na kuwa endelevu kama kutakuwa na sheria katili za kuhakikisha wanaokiuka matumizi sahihi ya mikopo hiyo wanachukuliwa hatua stahiki bila kuwepo upendeleo na utashi wa kisiasa. Kinyume chake hata wanaotukopesha huwatuma majasusi na majangili wao kuja wakifuatana na hiyo mikopo kuhakikisha kuwa badala ya kutunufaisha sisi, inarudi kuwanufaisha waliotukopesha. Walio na ufahamu mzuri wa ujasusi wa kiuchumi duniani watanielewa.Kukopa sio shida Bali matumizi yake na aina ya vipaombele ndio shida kubwa.
Tunatarajia Tume ya Mipango ndio iwe Inatoa guidance nzuri ya Serikali kukopa.